julaibibi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2020
- 2,606
- 3,399
nipo natizama TBC 1 kwa kweli hii makala imenivutia sana ya shirika la meli tanzania. Naona mtendaj wake erik hamiss anaeleza namna walivokuwa na wapo wapo mpaka sasa na maboresho ya meli zao kama vile new victoria, mwongozo, mv liemba lya mfipa ambayo imetengenezwa 1913, na kadhalika.
Kwa kweli tuipongeze dhamira ya dhati ya Amiri jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Maguful kwa kuamua kuipa uhai kampuni hii ya serikal ya Meli.
Hawa jamaa kwa mujibu wa makala hii nayoitizama hapa TBC ni kwamba walikua hoi wamekata tamaa ila mh rais aliwapa mil 300 waaaze nayo.
Wamekomaa ndan ya miez 12 wakawa wameweza kusogea. Naona jinsi watu wa bukoba via mwanza wanavofaidi usafiri huu.
Kwa kweli meli nzurI
i ndan zina mpaka pa kulala, sehem za kula naona viti makochi safi kabisa. Abiria wanashukuru sana mana kwa safar ya bukoba mwanza kwa elfu 16 kwa kweli rahisi sana na unafika kama hujasafiri haupo hoi mara miguu imevimba mswaki hujapiga siku 3 njian ila usafit wa meli starehe sana.unafika buheri wa afya.
Usafiri wa maji ndio usafiri mkongwe dunian. Sisi kama Tanzania tumejaaaliwa kuwa na water bodies
ombi langu kwa shirika. Tufikirie namna ya kuwafikia watanzania wote wenye access ya maji ili nao wafaidi neema hii ya maji.
Kuwe na mipango ya kuanza safar kuanzia Dar es Salaam via Lindi via twara. Dar bagamoyo hongera sana Marine service.
tune tbc kuangalia
Kwa kweli tuipongeze dhamira ya dhati ya Amiri jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Maguful kwa kuamua kuipa uhai kampuni hii ya serikal ya Meli.
Hawa jamaa kwa mujibu wa makala hii nayoitizama hapa TBC ni kwamba walikua hoi wamekata tamaa ila mh rais aliwapa mil 300 waaaze nayo.
Wamekomaa ndan ya miez 12 wakawa wameweza kusogea. Naona jinsi watu wa bukoba via mwanza wanavofaidi usafiri huu.
Kwa kweli meli nzurI
i ndan zina mpaka pa kulala, sehem za kula naona viti makochi safi kabisa. Abiria wanashukuru sana mana kwa safar ya bukoba mwanza kwa elfu 16 kwa kweli rahisi sana na unafika kama hujasafiri haupo hoi mara miguu imevimba mswaki hujapiga siku 3 njian ila usafit wa meli starehe sana.unafika buheri wa afya.
Usafiri wa maji ndio usafiri mkongwe dunian. Sisi kama Tanzania tumejaaaliwa kuwa na water bodies
ombi langu kwa shirika. Tufikirie namna ya kuwafikia watanzania wote wenye access ya maji ili nao wafaidi neema hii ya maji.
Kuwe na mipango ya kuanza safar kuanzia Dar es Salaam via Lindi via twara. Dar bagamoyo hongera sana Marine service.
tune tbc kuangalia