Napenda kmpongeza Mhe. JPM kwa kuwateua Ndugu Alphayo Kidata na Ndugu Eliakim Maswi kuwa viongozi wakuu wa TRA.
Mimi binafsi nawafahmu wote wawili ni watu waadilifu sana na kwa sasa nawahakikishia kuwa TRA ina uwezo wa kukusanya 2.6tr kwa mwezi.
Kwa staili ya JPM nchi itapiga sana sana hatua ya kimaendeleo kinyume na Serikali ya awamu ya nne.
Mimi binafsi nawafahmu wote wawili ni watu waadilifu sana na kwa sasa nawahakikishia kuwa TRA ina uwezo wa kukusanya 2.6tr kwa mwezi.
Kwa staili ya JPM nchi itapiga sana sana hatua ya kimaendeleo kinyume na Serikali ya awamu ya nne.
Last edited by a moderator: