Kinkunti El Perdedo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 5,537
- 13,846
Mahakama ya Kenya imewataka wabunge kurudisha pesa ambazo wabunge walikuwa wanalipwa kwa ajili ya Nyumba kiasi cha 1m toka walipo anza kulipwa maana hazikufuata utaratibu wa sheria za malipo kwa watumishi wa Umma.
Uamuzi wa mahakama umefanya wabunge kuanza kulalamika kwamba utafanya wawe na maisha magumu.
Hii ni ishara kwamba wabunge wengi hasa katika bara la Afrika niwatetea matumbo yao na sio maslahi ya umma wako hata tayali kuvunja sheria wao wawe na maisha mazuri uku umma unataabika na shida kila kukicha.
Mahakama zingine lina jambo la kujifunza toka mahakama za Kenya ni namna gani zinafanyo fanya shughuli zake bila uoga.
El perdedo
Uamuzi wa mahakama umefanya wabunge kuanza kulalamika kwamba utafanya wawe na maisha magumu.
Hii ni ishara kwamba wabunge wengi hasa katika bara la Afrika niwatetea matumbo yao na sio maslahi ya umma wako hata tayali kuvunja sheria wao wawe na maisha mazuri uku umma unataabika na shida kila kukicha.
Mahakama zingine lina jambo la kujifunza toka mahakama za Kenya ni namna gani zinafanyo fanya shughuli zake bila uoga.
El perdedo