Kuoa inabidi ufikirie kabla ya kufanya maamuzi manaake wanawake ndani ya nyumba wanaongea kuanzia asubuhi mpaka jioni, they don't know how to shut up hata kama unataka kuangalia mechi muhimu ya football, ukisema ukae na PC yako kuangalia nini kinaendelea kwenye JF anasema unamuignore, sasa basi ukiamua kunywa bia zako ndio kabiiisa atakwambia we kazi yako kulewa tu. Basi tabu tupu.