Kama ilivyokuwa kwa Diamond Platnumz, Joti naye achukuliwe hatua...

Planett

JF-Expert Member
Mar 20, 2014
10,411
15,903
Wakuu salaam,

Siku kadhaa zilizopita msanii Diamond alifungiwa wimbo wake kwa maelezo kwamba unadharirisha imani ya watu fulani. Watu walienda mbali zaidi wakasema jamaa kwanza ni muislamu hivyo ule wimbo angerekodia kwenye mazingira yanayomhusu na sio kanisani.

Sasa leo Joti kaachia kazi yake ya sanaa ambayo pia inadharirisha imani fulani. Kwamba anachodepict kwenye hii video ni kwamba uislamu unaozesha watu wa jinsia moja.

Joti anafahamu kabisa kua katika uislamu kujifananisha na jinsia tofauti ni kosa na hairuhusiwi (wakati akiwa orijino komedi walienda kwa sheikh wa mkoa sheikh alhad akawaambia hilo suala). Na pia Joti yeye ni mkristo so hiyo video angeenda kurekodia kanisani.



 

Attachments

  • Captcure.JPG
    Captcure.JPG
    44.6 KB · Views: 82
Joti naona ana promote San ushoga maana miaka ya nyuma ashawahi toa tangazo la tigo akiwa amevaa wigi lenye rangi za kuhamasishwa mapenzi ya jinsia moja
 
Huu Ni udhalilishaji dhidi ya uislam,
Waislam hawana utaratibu wa ndoa za jinsia moja.

Hii Ni kesi Kubwa,
Asipokua Makin itamsumbua sana joti
Hivi joti huwa anaigiza kama shoga linalovaa nguo za kike?? Au anaigiza kama mwanamke?? Kama anaigiza kama shoga basi waislam wanapaswa kumkaripia hapa.

Lakini Kama huwa anajifanya mwanamke basi hamna shida na tusimsumbue joti eti kisa amekosa nyeti za kike.

Ni sawa tu na mtu anapoigiza daktari, kwahyo bodi ya madaktari imshukie mtu aliyeigiza daktari kwakuwa hana vyeti?
 
Back
Top Bottom