Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,073
Jiji la Arusha /mkoa wa Arusha chini ya uongozi wa CHADEMA umevuka agizo la Rais Magufuli la kuhakikisha wanafunzi wanapatiwa madawati na sasa mkoa mzima umeshajitosheleza na kuna madawati ya ziada,hongera sana uongozi wa madiwani na wabunge wa CHADEMA.
Chanzo: ITV habari
Chanzo: ITV habari