hata wezi wanasena n talent walizopewa na mwenyeZi mungu.
Unaweza ukawa game chenger ila in negative kama ulivyo ww, unashindwa mshauli Samata apiganie taifa unasema unamuunga mkono afu unataka kusema we n game chenger, sa umechange nn hapo🚶🚶🚶
Hujaintertain MTU hapo zaidi ya kutuuzi tu😞😞😞
Ndiyo kesho usikose uwanjani kuwashangalia vijana sijajua kwa nini unachezwa saa 4 usiku.Watu kibao humu walikuwa wanasema Stars itafungwa si chini ya goli 8.!Kesho tunashinda njooni kwa wingi