Hongera Samatta kwa rekodi ya miaka minne bila kuifungia timu ya taifa

Hongera Samatta kwa rekodi ya miaka minne bila kuifungia timu ya taifa

Captain muda wake wa kuonesha ufanisi wa kufunga au kusaidia hold-up play umepita.
Umri ukuta.
Tunashukuru kwa mchango wake mkubwa.
 
Hili nalo mkaliangalie
Mama asante kwa hii record ya Samata
 
Leo umetimiza miaka minne bila kufunga goli timu ya taifa hongera kwa rekod ya kipekee
Huu ni upumbavu!

Wewe kwa umri ulionao mpaka sasa umelifanyia nini Taifa?

Samatta ni mpambanaji na kila mmoja analiona hilo. Kuipambania timu sio lazima yeye ndio afunge, umejiuliza amehusika katika moves ngapi za magoli yaliyoifikisha ilipo hivi sasa Stars?

Threads kama hizi hazifai, sio sawa kuvunja moyo wanaojitolea kufanya usiyoweza kuyafanya wewe.
 
Wenzenu wanatengeneza academy kukuza vipaji
Nyie mnanhangaika kila mechi oh mln 100,mara 200m ungese upuz mtupu

Ova
 
Huu ni upumbavu!

Wewe kwa umri ulionao mpaka sasa umelifanyia nini Taifa?

Samatta ni mpambanaji na kila mmoja analiona hilo. Kuipambania timu sio lazima yeye ndio afunge, umejiuliza amehusika katika moves ngapi za magoli yaliyoifikisha ilipo hivi sasa Stars?

Threads kama hizi hazifai, sio sawa kuvunja moyo wanaojitolea kufanya usiyoweza kuyafanya wewe.

Mpambanaji wa wapi? Acheni uongo. Samata ameshaisha. Hana mchango wowote kwa team. Umri umeenda lazima akubali na watu wakubali. Hawezi cheza milele. Kwenye match anaguza mpira mara tatu mpaka nne. Anapoteza. Hamna kitu. Mpira ni mchezo wa wazi. Kama mnampenda sana samata mkanywe naye kahawa.
 
Yaan mleta.mada umeleta pongez kinyume

Lengo lako tushalijua mkuu hiv nikuulize katka familia yako pale nyumban kila siku huwa unarud na pesa au zawadi ukitokea umekosa mbona huwa hutukanwi badala yake wanakufariji
Ndivyo ilivyo kwa samatta safar hii amekosa ila kesho atapata
 
Huu ni upumbavu!

Wewe kwa umri ulionao mpaka sasa umelifanyia nini Taifa?

Samatta ni mpambanaji na kila mmoja analiona hilo. Kuipambania timu sio lazima yeye ndio afunge, umejiuliza amehusika katika moves ngapi za magoli yaliyoifikisha ilipo hivi sasa Stars?

Threads kama hizi hazifai, sio sawa kuvunja moyo wanaojitolea kufanya usiyoweza kuyafanya wewe.
Hapa umepuyanga , so kama mtu hajafunga 4 years asiambiwe?yaan mshambuliaji unaipaambaniaje timu ya Taifa pasipo kufunga Wala ku assist?. Kwani ni lazima Kila mtu awe mcheza mpira?. Samatta uwezo umeshuka na nijambo la kawaida hasa ukizingatia umri Wake
 
Huu ni upumbavu!

Wewe kwa umri ulionao mpaka sasa umelifanyia nini Taifa?

Samatta ni mpambanaji na kila mmoja analiona hilo. Kuipambania timu sio lazima yeye ndio afunge, umejiuliza amehusika katika moves ngapi za magoli yaliyoifikisha ilipo hivi sasa Stars?

Threads kama hizi hazifai, sio sawa kuvunja moyo wanaojitolea kufanya usiyoweza kuyafanya wewe.
Amefanya mazur ila kwa sasa inatosha ameua move nzur za magoli mfano mech ya uganda alitoka na mpira kwenye 27 ya timu pinzan pemben akakokota mpaka katikat ya uwanja na kutoa pas kwa kipa dakika ya 87 na moja moja alalakia au msuva asingefanya ujinga ule
 
Huu ni upumbavu!

Wewe kwa umri ulionao mpaka sasa umelifanyia nini Taifa?

Samatta ni mpambanaji na kila mmoja analiona hilo. Kuipambania timu sio lazima yeye ndio afunge, umejiuliza amehusika katika moves ngapi za magoli yaliyoifikisha ilipo hivi sasa Stars?

Threads kama hizi hazifai, sio sawa kuvunja moyo wanaojitolea kufanya usiyoweza kuyafanya wewe.
Amefanya mazur ila kwa sasa inatosha ameua move nzur za magoli mfano mech ya uganda alitoka na mpira kwenye 27 ya timu pinzan pemben akakokota mpaka katikat ya uwanja na kutoa pas kwa kipa dakika ya 87 na moja moja alalakia au msuva asingefanya ujinga ule
 
Back
Top Bottom