Nicodemas Tambo Mwikozi
JF-Expert Member
- Aug 13, 2016
- 663
- 1,047
hongera sana nimesikiliza hotuba yako kumbe kuna chaki za Maswa, Maziwa toka Simiyu nk. Hakika mkoa huu ulipata kiongozi si kiongozi alipata mkoa.
Una plan nyingi sana aisee Mungu akuongoze uzitekeleze zote.... hatutaki viongozi maneno mengi tunataka viongozi wa kaliba yako ambao wana malengo ya kugusa maisha ya wananchi.
Hatutaki viongozi wapiga selfie na mafagio mtaani na maneno mengi. Tunataka viongozi wanaofikiri kwa mapana namna ya kumuunga mkono mh Raisi.
Aisee for real umenigusa kwa hotuba na mipango. Antony Anthony Mtaka
Una plan nyingi sana aisee Mungu akuongoze uzitekeleze zote.... hatutaki viongozi maneno mengi tunataka viongozi wa kaliba yako ambao wana malengo ya kugusa maisha ya wananchi.
Hatutaki viongozi wapiga selfie na mafagio mtaani na maneno mengi. Tunataka viongozi wanaofikiri kwa mapana namna ya kumuunga mkono mh Raisi.
Aisee for real umenigusa kwa hotuba na mipango. Antony Anthony Mtaka