Wewe achana na Mimi kitu usicho kijuaWazee wa kufuata upepo kama kawa. Umejua haya baada ya Rais kumsifia? Kwann hukusema hizi sifa kabla
Wewe achana na Mimi kitu usicho kijua
Unakaa kimya sio lazima uchangie
Nina misimamo yangu mi sio fuata upepo mtu akifanya vizuri asifiwe hapo ndio huwa
Nashinda na watu wengi
Kujisifia tu basis kwa lipi?
OK basi sawa katutengeneza tumpe kikiHivi kuna Mkuu wa Mkoa hapa Tanzania ambaye anatengeneza watu wa kumtengenezea kiki kama huyu kwa sasa?