Hongera raisi Kikwete

Hongera raisi Kikwete

Tuko

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2010
Posts
11,180
Reaction score
7,354
Ingawa nimekuwa upande wa upinzani siku zote lakini kwa hili sina budi kumpongeza raisi Kikwete.
Tangia nianze kufuatilia siasa za huyu Mheshimiwa, kwa mara ya kwanza nashuhudia akitulia nchini kwa wiki tatu bila kusafiri nje.
Hongera raisi, naamini kwa utulivu huo utapata mda japo kidogo wa kujifunza baadhi ya matatizo sugu ya watanzania na kuyafanyia kazi..

Hongera sana
 
Kwani tangu mawaziri walipojiuzulu mwezi umeisha? Maana kipindi kile alikuwa USA
 
Ingawa nimekuwa upande wa upinzani siku zote lakini kwa hili sina budi kumpongeza raisi Kikwete.
Tangia nianze kufuatilia siasa za huyu Mheshimiwa, kwa mara ya kwanza nashuhudia akitulia nchini kwa zaidi ya mwezi mmoja bila kusafiri nje.
Hongera raisi, naamini kwa utulivu huo utapata mda japo kidogo wa kujifunza baadhi ya matatizo sugu ya watanzania na kuyafanyia kazi..

Hongera sana

Hivi wewe umekurupuka tu au ulikaa chini na kupanga cha kuandika?
Kikwete katoka ziara ya Marekani baada ya X-mass huo ndo mwezi?
 
ingawa nimekuwa upande wa upinzani siku zote lakini kwa hili sina budi kumpongeza raisi kikwete.
Tangia nianze kufuatilia siasa za huyu mheshimiwa, kwa mara ya kwanza nashuhudia akitulia nchini kwa zaidi ya mwezi mmoja bila kusafiri nje.
Hongera raisi, naamini kwa utulivu huo utapata mda japo kidogo wa kujifunza baadhi ya matatizo sugu ya watanzania na kuyafanyia kazi..

Hongera sana
umevurugwa
 
Hivi wewe umekurupuka tu au ulikaa chini na kupanga cha kuandika?
Kikwete katoka ziara ya Marekani baada ya X-mass huo ndo mwezi?

Shabash... nilikuwa nimesahau kama alienda Marekani baada ya south...
 
Ingawa nimekuwa upande wa upinzani siku zote lakini kwa hili sina budi kumpongeza raisi Kikwete.
Tangia nianze kufuatilia siasa za huyu Mheshimiwa, kwa mara ya kwanza nashuhudia akitulia nchini kwa wiki tatu bila kusafiri nje.
Hongera raisi, naamini kwa utulivu huo utapata mda japo kidogo wa kujifunza baadhi ya matatizo sugu ya watanzania na kuyafanyia kazi..

Hongera sana

mkuu Tuko huyu kubaki nchini ni balaa tu bora akende zake..
ana kazi zimembana kwanza za mapinduzi, kuteua wabunge wa bunge la katiba, kuunda balaza la mawaziri baada ya kufukuzwa walipowabaka akina mama na kuwasokomeza chupa sehemu za siri na waziri mmoja wakamtoa roho...
 
Last edited by a moderator:
Ingawa nimekuwa upande wa upinzani siku zote lakini kwa hili sina budi kumpongeza raisi Kikwete.
Tangia nianze kufuatilia siasa za huyu Mheshimiwa, kwa mara ya kwanza nashuhudia akitulia nchini kwa wiki tatu bila kusafiri nje.
Hongera raisi, naamini kwa utulivu huo utapata mda japo kidogo wa kujifunza baadhi ya matatizo sugu ya watanzania na kuyafanyia kazi..

Hongera sana
Mkuu naona unatafuta matusi ya wazee wa buku 7.

1378528_621377627913562_1439553841_n.jpg
 
Ingawa nimekuwa upande wa upinzani siku zote lakini kwa hili sina budi kumpongeza raisi Kikwete.
Tangia nianze kufuatilia siasa za huyu Mheshimiwa, kwa mara ya kwanza nashuhudia akitulia nchini kwa wiki tatu bila kusafiri nje.
Hongera raisi, naamini kwa utulivu huo utapata mda japo kidogo wa kujifunza baadhi ya matatizo sugu ya watanzania na kuyafanyia kazi..

Hongera sana

Du, kwa kweli anastahili pongezi kama atakuwa ametulia nchini kwa angalau wiki 3! Hongera sana Rais wangu!
 
ameanza kutafakari nchi gani aende maana katembea zote kamaliza, sasa anarudiarudia!
 
Bac aende saudi Arabia na akimaliza msafara wake aende pale aka hijj ndo kilichobakia co kukaa tz wakati nchi nyngne zinamuhitaji!ila co mbya kutulia home muda mwengne!safi sana rais wetu.
 
Hili nitatizo lakunywa mapombe yakienyeji
 
Watu wameanza kujikomba ili wateuliwe kujaza nafasi za mawaziri zilizo wazi
 
Nakushauri utumie Calculator siku nyingine kabla hujapost hiyo bichwa lako halijui hesabu...!!
 
Wiki tatu hajasafiri na ameshindwa kuteua mawaziri wanne tu mpaka leo??
 
Back
Top Bottom