Hongera Prof. Joseph Buchweshaija



Jamani Prof Bucharest si mtendaji wa TIB bali mjumbe wa bodi mpya ya taasisi hiyo na mwenyekiti wa Bodi hiyo ni Prof. Paramagamba Kabudi. Aaibike kitu gani wakati yeye si mkurugenzi mkuu was TIB? Moja ya jukumu kuu ya bodi ya wakurugenzi ni kusimamisha utendaji wa menejimenti ya taasisi husika na kushauri utendaji wa Mkuruvenzi mkuu was taasisi husika.
 
Duhh, majukumu mingine yanashangaza sana yaani yeye atahusika eneo la kushauri wakati hana taaluma! Kwenye kusimamisha au kutumbua hapo itakuwa hana jingine ni kuitikia ndiyoooo hata kama ni majungu au makosa ili mtu atumbuliwe. Haya ngoja tusubiri shubiri ya viroja.
 
Naweza kusema huyo prof unayempongeza ni mmoja wa maprof mizigo katika nchi hii ambao wanashindwa kuhusianisha Elimu na uhalisia wa kijamii, ndo maana tutabaki kuwa hivi
 
Ni kukurupuka tu Mkemia kuwa msimamizi wa fedha.

Shukrani hizo si angemlipa tu PESA baasi wakamalizana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…