Hongera polisi Moshi

Hongera polisi Moshi

zaz

Member
Joined
Sep 17, 2013
Posts
5
Reaction score
1
Polisi mkoa wa Kilimanjaro wamenifanya niamini kua pilisi wakiamua kufanya kazi wa naweza.

Nafatilia kwenye vyombo vya habari kesi ya watuhumiwa wa mauaji ya Msuya wa Arusha.

Jinsi kila wakati inaporipotiwa kuwa watuhumiwa kadhaa wamekamatwa tena wengine tunaambiwa ni wafanya biashara ma milionea.

Inatia moyo kwakweli tunaona kuwa ruswa ipo sana na inapoteza haki ya wananchi ila polisi mkoa wa Kilimanjaro mmefanya kazi ambayo imefanya wananchi wenu tujivunie.

Tumeona sehemu nyingi watu wanauliwa tena watu wakiwa wanaonekana ila inapita miaka wauaji hawapatikani ila ndani ya Mwezi mmoja tumeona kazi nzito mliyofanya.

Hongera uongozi wa polisi ngazi zote Kilimanjaro.
 
Hicho kiji mkoa chinu tunafanya mpango tukifungia kabisa kinapenda sana kufanya mauwaji majambazi wanauwa raia sana huko kuna mtu ameuliwa juzi tu kisa wivu kwahiyo inaonesha kama watu wa arusha wengi ni wavuta bangi
 
Hakuna cha hongera kwani waliokamatwa bado ni saspected person than isitoshe mahakaman juzi askari waliungana na ndugu wa Msuya waliolalamikia waandishi na kuwakwida huku wakitaka uwanyanganya kamera askari kuungana nao na kuwatesa waandishi,ila kwa jeshi la Polisi Kilimanjaro kinachosumbua sana na rushwa hasa kwa Reginal Crime Oficer(RCO)Ukiachilia mbali wapelelezi wengine ambao wamekuwa bingwa wa kuwabambikia wananchikesi.
 
Polisi walishakamilisha ushahidi ndio maana wakasomewa maahtaka. Watu wamechoshwa na haya mambo bwana.. hakuna sheria ya dini wala ya nchi yetu inayoruhusu mtu kumuua mtu mwingine. Mimi niko moshi hii kesi imevuta watu wengi sana na ndicho kilichonifanya hata mimi kufika. Juzi kesi ilisomwa chumbani polisi walisema walifanya hivyo kiusalama na walihofia wingi wa watu. Waliingizwa watu wachache akiwemo mama na baba ake msuya na kaka mwingine waliyesema mtoto wa baba mkubwa. Baada ya yule mama kuwaona watuhumiwa alizimia ikalazimu police wate familia yake iliyokua nje kwa msaada, hapo ndipo ikaanza tafrani na waandishi wa habari watoto wanalia mama kazimia waandishi wako busy kuwapiga picha hawakutaka kuona hicho kitendo. Wakasema wa naumia kuwaona watu waliomuua ndugu yao halafu waandishi waliwahi kuandika kua ndugu wa marehem wazimia baada ya kesi kuhairiswa, wakahoji kwani wao hawajui kua hii kesi ni lazima ihairiswe? Alikua analalamika ndugu mmoja wa familia.
 
Nyinyi watu mlochangia hata kuandika hamjui moja amejaribu kuandika kiengereza wengine hata kile cha bibi mkubwa hawajui
 
Nyinyi watu mlochangia hata kuandika hamjui moja amejaribu kuandika kiengereza wengine hata kile cha bibi mkubwa hawajui

we kiingereza haujui vp mtihani wa darasa la Saba vp ulikuwa Mgumu.
 
Wew ndo unajua kiingireza,au umetumwa na wala rushwa kuja kuwatetea waambie umeshindwa..
 
Back
Top Bottom