Domenia
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 462
- 22
Hongera kwa kuanzisha huduma ya NMB Mobile ...
Changa mota kubwa Mnayo kumbana nayo hivi sasa ni Promosheni-Promotion ya huduma hiyo!!
Lakini hata hivyo sio kazi kubwa sana!!Ni kuwekeza fedha-na muda
1.Kwanza Mtumie Lugha Nyepesi na kutoa Elimu ya ni kwa jinsi gani tuta weza kufanikiwa na huduma hii!!
Huduma yenu Imeanza tarehe 21/07/2009 linganisha www.mawazo-limbeart.blogspot.com Post ya tarehe 26/05.2009..... Blog ina sisi tiza tuendelee ili kufikia Mawazo halisi na mahitaji halisi...
Mawazo-limbeart.blogstop.com imefurahishwa na reaction ya NMB
Hudua hii isisitizwe kwa Walimu waliopo Vijijini!!-Watu walio na wasiwasi na usalama wa fedha zake hasa nyakati ambao yupo mbali na huduma ya kibenki ... na wanao pata shida katika kufuatilia mishahara yao Mijini!! na mifano mingine mingi itakayo fuata!!
Hata hivyo NMB isisite kuandaa vocha hata za kiwango cha laki moja moja kwa kushirikiana na makampuni ya simu ...ambazo zinaweza zikatumila kama Muda wa maongezi au ika rahisisha kuhifadhi fedha moja kwa moja kwenye akaunti...
Pamoja na hayo yote ufuatiliaji wa mafanikio ya huduma hii ya rekodiwe!! nina amini hii ni ishara ya tuna fikiria sawa na tuna ota Ndoto zinazo fanana!!
Jinsi huduma itakavyo kua ina endelea na ni jinsi gani Mawazo itaendelea kufuatilia na ina penda kuji husisha na promotion ya huduma hiyo!!
2. wafanyakazi wa benki wala wasi hofu kupoteza kazi kutokana na huduma kama hizi!! sasa ndio wakati ambapo wata fanya kazi kwa muda mwingi na faida nyingi kwa benki!! na ndio wakati benki itaajiri wafanyakazi wengi zaidi..
hii yote inatokana na wateja Kuongezeka! na wateja wengi watapenda kuja benki kuulizia na kuona fedha zao kweli zipo kama wanavyo benki kwenye simu zao!!!!
Jaribu kufikiria mtu alie poteza simu tena ana Iheshimu simu yake kwasababu tu ime unganishwa na NMB Mobile
watu kama hao watakuja mara ngapi ofisini ili kutaka kujua usalama wa fedha zao?
Huu ndio wakati wa wafanya kazi wa NMB kuoesha Ukarimu zaidi ka kawaida yao,...
Asante
www.myspace.com/geelimbe
Changa mota kubwa Mnayo kumbana nayo hivi sasa ni Promosheni-Promotion ya huduma hiyo!!
Lakini hata hivyo sio kazi kubwa sana!!Ni kuwekeza fedha-na muda
1.Kwanza Mtumie Lugha Nyepesi na kutoa Elimu ya ni kwa jinsi gani tuta weza kufanikiwa na huduma hii!!
Huduma yenu Imeanza tarehe 21/07/2009 linganisha www.mawazo-limbeart.blogspot.com Post ya tarehe 26/05.2009..... Blog ina sisi tiza tuendelee ili kufikia Mawazo halisi na mahitaji halisi...
Mawazo-limbeart.blogstop.com imefurahishwa na reaction ya NMB
Hudua hii isisitizwe kwa Walimu waliopo Vijijini!!-Watu walio na wasiwasi na usalama wa fedha zake hasa nyakati ambao yupo mbali na huduma ya kibenki ... na wanao pata shida katika kufuatilia mishahara yao Mijini!! na mifano mingine mingi itakayo fuata!!
Hata hivyo NMB isisite kuandaa vocha hata za kiwango cha laki moja moja kwa kushirikiana na makampuni ya simu ...ambazo zinaweza zikatumila kama Muda wa maongezi au ika rahisisha kuhifadhi fedha moja kwa moja kwenye akaunti...
Pamoja na hayo yote ufuatiliaji wa mafanikio ya huduma hii ya rekodiwe!! nina amini hii ni ishara ya tuna fikiria sawa na tuna ota Ndoto zinazo fanana!!
Jinsi huduma itakavyo kua ina endelea na ni jinsi gani Mawazo itaendelea kufuatilia na ina penda kuji husisha na promotion ya huduma hiyo!!
2. wafanyakazi wa benki wala wasi hofu kupoteza kazi kutokana na huduma kama hizi!! sasa ndio wakati ambapo wata fanya kazi kwa muda mwingi na faida nyingi kwa benki!! na ndio wakati benki itaajiri wafanyakazi wengi zaidi..
hii yote inatokana na wateja Kuongezeka! na wateja wengi watapenda kuja benki kuulizia na kuona fedha zao kweli zipo kama wanavyo benki kwenye simu zao!!!!
Jaribu kufikiria mtu alie poteza simu tena ana Iheshimu simu yake kwasababu tu ime unganishwa na NMB Mobile
watu kama hao watakuja mara ngapi ofisini ili kutaka kujua usalama wa fedha zao?
Huu ndio wakati wa wafanya kazi wa NMB kuoesha Ukarimu zaidi ka kawaida yao,...
Asante
www.myspace.com/geelimbe
Last edited: