HONGERA Mnadhimu TUNDU LISSU

HONGERA Mnadhimu TUNDU LISSU

Joined
May 1, 2012
Posts
95
Reaction score
96
Hakika TUNDU LISSU weledi,umakini,ujasiri,Msimamo na uchapa kazi wake ni hazina kwa CHADEMA.Nashauri CHADEMA sasa LISSU aanze kufikiriwa kwa ajili ya kupeperusha bendera ya CHADEMA kwani UWEZO,UZOEFU na UPEO wake ni mkubwa sana.Pia UMRI wake na UTANASHATI ni tiketi ya kupata KURA uchaguzi ujao.HOTUBA yake bungeni leo hakika Watanzania tumezidi kumkubali anajua kujenga hoja vizuri.Mungu mbariki TUNDU LISSU MZALENDO wa Tz.
 
Sijaiona wala kuisikia,ningeomba niisome hapa,ili walau nipate cha kuchangia kuhusiana na kilichowasilishwa
 
Hakika watanzania wenye macho tunaona kaz kwetu 2015
 
Ushauri wako mzuri lakini sisi watanzania mioyo yetu imemuhifadhi Dr.slaa huyu ndiyo mtawala wetu makini ajaye na baada ya hapo wengine tutafuata.Tunataka awabadilishe watu warudi kwenye misingi iliyobomolewa na magamba wengine watatawala baada ya...
 
Acha uzembe we kila kitu hadi utafuniwe si uwe unafuatilia bunge .nenda kwenye tovuti ya bunge,wavuti ya chadema utaikuta
 
Sijaiona wala kuisikia,ningeomba niisome hapa,ili walau nipate cha kuchangia kuhusiana na kilichowasilishwa
Lissu akiwasilisa kitu ni zaidi ya kusoma, ingependeza kama ungemsikia live! jamaa kwanza anayo sauti ya kuiwasilisha mada, na kuvuta hadhara... nenda utube uone live1! Bravo kaka lissu
 
hivi maoni yanayotolewa na msemaji wa kambi ya upinzani huwa ni maoni binafsi au ya kambi rasmi ya upinzani, haiwezekni mtu mwingine kuyasema kama aliyosema Tundu lissu?
 
the way anavyowasilisha mada huwez kubanduka..!ANAJUA
 
Mheshimiwa Lissu ile nukuu ya Baba wa Taifa natamani iwe katika kila hotuba ya msemaji wa kambi ya upinzani kwa wizara zote zilizosalia. Ombi pllease.
 
hakika tundu lissu weledi,umakini,ujasiri,msimamo na uchapa kazi wake ni hazina kwa chadema.nashauri chadema sasa lissu aanze kufikiriwa kwa ajili ya kupeperusha bendera ya chadema kwani uwezo,uzoefu na upeo wake ni mkubwa sana.pia umri wake na utanashati ni tiketi ya kupata kura uchaguzi ujao.hotuba yake bungeni leo hakika watanzania tumezidi kumkubali anajua kujenga hoja vizuri.mungu mbariki tundu lissu mzalendo wa tz.
..zitto je?
 
yaani ukinitolea shibuda na huyu rose kamili kwa kweli majembe mengine yote ya cdm yaliyosalia humo mjengoni huwa yananifanya 2015 niione kama miaka 100,braaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaavvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvooooooooooooooooooooooo chama langu cdm
 
Tundu lisu ni hazina iliyotukuka. anawachezesha akina lusinde,nchemba,maji marefu,makinda na magamba wote kwa ujumla nusu uwanja halafu forward(cdm mps) anazirudisha beki. Ur an awesome T.L
 
Niliifuatilia hotuba yake kifungu hadi kifungu kupitia radio Mambo FM, i was so much excited and i feel we have good people who can take this nation to the right destiny. God bless you Tundu Lissu, CHADEMA and All Tanzanians who love the reforms.
 
Lissu akiwasilisa kitu ni zaidi ya kusoma, ingependeza kama ungemsikia live! jamaa kwanza anayo sauti ya kuiwasilisha mada, na kuvuta hadhara... nenda utube uone live1! Bravo kaka lissu
nimeisoma tayari kaka,3310 yangu haionesh u tyubu,ila ni hadhira na si hadhara
 
Niliifuatilia hotuba yake kifungu hadi kifungu kupitia radio Mambo FM, i was so much excited and i feel we have good people who can take this nation to the right destiny. God bless you Tundu Lissu, CHADEMA and All Tanzanians who love the reforms.

jaman dar kuna redio gan inayorusha bunge live?????
 
Hakika TUNDU LISSU weledi,umakini,ujasiri,Msimamo na uchapa kazi wake ni hazina kwa CHADEMA.Nashauri CHADEMA sasa LISSU aanze kufikiriwa kwa ajili ya kupeperusha bendera ya CHADEMA kwani UWEZO,UZOEFU na UPEO wake ni mkubwa sana.Pia UMRI wake na UTANASHATI ni tiketi ya kupata KURA uchaguzi ujao.HOTUBA yake bungeni leo hakika Watanzania tumezidi kumkubali anajua kujenga hoja vizuri.Mungu mbariki TUNDU LISSU MZALENDO wa Tz.
Mengine yote umesema vema ila hapo kwenye redi, sikubaliani na wewe. bado DR Slaa ndiye raisi wetu 2015. kama wewe ni wa chama cha mabwepande usiupoteze muda wako bure hatudanganyiki.
 
Back
Top Bottom