Kuna usalama mkuu,hali imerudi kuwa shwari lol
Sijawahi kumuona Kiranga akitoa tusi la nguoni miaka saba yote niliyokuwepo humu hahahaaaaa
Hawa punguani wengine wenye utapiamlo wa ubongo wanachekesha sana.
Mtu anayepinga kuamini habari za uchawi kila siku hapa bado katika akili zao zinazoenda kimkundumkundu anaweza kuonekana mchawi.
Millard ana akili sana. Anafanya vitu kwa mipango, kwa nini asiwe anamshauri jokate shost wake. Maana jokate linakurupuka likidhani ni sifa. Safi sana Millard ayo, hayo ndiyo maendeleo.
Hongera zake,Diamond yeye kila mwaka anabadilisha papuchi tu
Zipo nyingi sana
Wanatengeneza vipindi wanaviuza kwa radip na stesheni za Televisheni
mfano PPT ya/na Paschal Mayala
ngoja nikuitie huyu mtu akueleweshe vizur kabisa
Pasco ukuje!!
Kuna mtu anafahamu id ya Ahmed Kipozi (mheshimiwa DC nae ndo khabari zake hizi)
Maria Sarungi Tsehai nae huwa anaandaa vipindi kwa mrengo huu
So Millard big uuuuup dogo!!
Hao wanaosema sijui nini sijui nini wambie wakafanye na wao hizo sijui nini.sijui nini kama ni rahisi kufika hapo ulipofikia!!
Kwa anayewajua hao maguru wa habar i niliowatajai anaweza kuelewa kwann tunampongeza huyu dogo
Panic kwa kutisha gani uliko nako wewe?