Kitendo cha vyombo vya dola ambavyo ndio vyenye dhamana ya kulinda usalama na amani ktk nchi kuonekana vinatenda kazi kidhalimu,hv karibuni kulionesha kuto vumiliwa na mbunge wa Arusha mjini mh.Godbless Lema mahakamani huko Arusha kwa kile alichokiita ni vitisho dhidi ya wadai haki vinavyotolewa na vyombo vya dola.