Hongera Matola, Hongera wachezaji wa Simba, nimefurahi kama vile tumechukua ubingwa sisi

Wachambuzi makanjanja hayajui hii unless yangemkuta utopolo haya yote wangeyaongea wao
View attachment 1677237

Katika mechi kali ya UEFA Champion League kati ya Liverpool Vs Atlanta ya italia iliyofanyika katika Uwanja wa Anfield nyumbani kwa liverpool hadi mwisho wa mchezo wenyeji walikuwa na Zero Short on Target. Ninyi wachambuzi, naomba na hili muliongelee.

Ahsante
 
Ile timu ni kubwa kwa matola wachezaji walikuwa wakicheza kwa uzoefu na vipaji binafsi kulikuwa hamna muunganiko wowote nashukuru tumefungwa maana tungeshinda ungesikia watu wanasema matola apewe mikoba.
Simba waache kuishi kimazoea wamejazana Zanzibar badala ya kushugulikia haraka swala la kocha na mpaka sasa kocha wa makipa hajatangazwa
Kwa hiyo ulitaka Matola afanye miujiza ipi kwa muda mfupi aliopewa timu, kwa kweli kwanza kajitahidi sana, halafu ingekuwa simba imefungwa ndani ya dakika tisini hapo sawa, lakink issue ya penalty hata akina mesi na ronaldo wanakosa kwa hakuna cha ajabu hapo.
 
Plateau na platmum aliwatoa shangazi yako?

Utopolo mnajilinganisha sana na Simba lakini size yenu ni JKT Ruvu,na Mbao FC.
Ujinga kitu kibaya sana, mpaka sasa unakosa heshima! ? Endelea kusubili vipigo mpaka unyoshe mikono juu,
mkia wewe.
 
Kwa hiyo ulitaka Matola afanye miujiza ipi kwa muda mfupi aliopewa timu, kwa kweli kwanza kajitahidi sana, halafu ingekuwa simba imefungwa ndani ya dakika tisini hapo sawa, lakink issue ya penalty hata akina mesi na ronaldo wanakosa kwa hakuna cha ajabu hapo.
Matola hajapewa timu kwa muda mfupi, alikuwa kocha msaidizi kwa hiyo ninmti anayeijua timu na wachezaji wa Simba vizuri kwa kifupi alishindwa kutengeneza muunganiko mzuri.
 
Kibaya zaidi kuna demu wa utopolo alikuwa akizishangaa ndume za uto zikishangilia ushindi wa penalty kwa kuuliza,hivi si hata mimi naweza kupiga shuti kwa akili tu nikafunga?Tukamwambia huo ndio ukweli!

Aliwageuka kwa kuwaponda kuwa kama wao ni wanaume wangefunga kwenye battle ya dk 90
Kwa hiyo ulitaka Matola afanye miujiza ipi kwa muda mfupi aliopewa timu, kwa kweli kwanza kajitahidi sana, halafu ingekuwa simba imefungwa ndani ya dakika tisini hapo sawa, lakink issue ya penalty hata akina mesi na ronaldo wanakosa kwa hakuna cha ajabu hapo.
 
Kiukweli mimi mwenyewe nilipenda sana uchezaji ule yaani lazima tuwe na strategies za kukabiliana na timu zinazotegemea nguvu zaidi kushinda na jana tulimudu laiti tungekuwa laini jana mechi ingeisha mapema tu
 
Simba walivyosoma magezeti ya leo.
20210114_203141.jpg
 
Kwa hakika leo nimeona mchezo ninaoutaka. Timu kana utopolo wacheza mieleka ukicheza nao soft na marefa wetu walivyo, wanaweza kukuabisha sana. Ila leo nimeona physique, nimefurahi sana. Zile kelele za wazee leo sijazisikia.

Acha wabebe kikombe hicho wawe na faraja kidogo. Sisi kazi ni moja, klabu bingwa Afrika.

Simba nguvu moja
Kikosi kipana
 
Kibaya zaidi kuna demu wa utopolo alikuwa akizishangaa ndume za uto zikishangilia ushindi wa penalty kwa kuuliza,hivi si hata mimi naweza kupiga shuti kwa akili tu nikafunga?Tukamwambia huo ndio ukweli!

Aliwageuka kwa kuwaponda kuwa kama wao ni wanaume wangefunga kwenye battle ya dk 90
Kwahio Onyango na Kagere ni wanawake maana wameshindwa kupiga hilo shuti
 
Maneno ya mkoswaji, je kombe lingebebwa na simba lingeachwa huko huko Zanzibar haaa haaa , asiye kubali kushindwa si
 
Back
Top Bottom