ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 17,279
- 22,010
statistics hazina faida kwa wote wawili maana mpira umeisha bila kufungana...umeagalia statistics? Kaangalie tena uje na huu Utelembwe
statistics hazina faida kwa wote wawili maana mpira umeisha bila kufungana...umeagalia statistics? Kaangalie tena uje na huu Utelembwe
Ptuu Mkia weweUkizingatia ushindi wa jana unawapeleka Group Stage ya Champions league barani afrika na mtacheza na tp mazembe wagumba fc mliozaa Jana.
Tangazeni vita, Yanga ishakua tishio kwenu. Simba bila kuwaficha mnavimbishwa pua wakati uwezo wenu mdogo mno na wa kubahatisha bahatisha.
View attachment 1677237
Katika mechi kali ya UEFA Champion League kati ya Liverpool Vs Atlanta ya italia iliyofanyika katika Uwanja wa Anfield nyumbani kwa liverpool hadi mwisho wa mchezo wenyeji walikuwa na Zero Short on Target. Ninyi wachambuzi, naomba na hili muliongelee.
Ahsante
Ptuu Mkia wewe
Kwa hiyo ulitaka Matola afanye miujiza ipi kwa muda mfupi aliopewa timu, kwa kweli kwanza kajitahidi sana, halafu ingekuwa simba imefungwa ndani ya dakika tisini hapo sawa, lakink issue ya penalty hata akina mesi na ronaldo wanakosa kwa hakuna cha ajabu hapo.Ile timu ni kubwa kwa matola wachezaji walikuwa wakicheza kwa uzoefu na vipaji binafsi kulikuwa hamna muunganiko wowote nashukuru tumefungwa maana tungeshinda ungesikia watu wanasema matola apewe mikoba.
Simba waache kuishi kimazoea wamejazana Zanzibar badala ya kushugulikia haraka swala la kocha na mpaka sasa kocha wa makipa hajatangazwa
Ujinga kitu kibaya sana, mpaka sasa unakosa heshima! ? Endelea kusubili vipigo mpaka unyoshe mikono juu,Plateau na platmum aliwatoa shangazi yako?
Utopolo mnajilinganisha sana na Simba lakini size yenu ni JKT Ruvu,na Mbao FC.
Matola hajapewa timu kwa muda mfupi, alikuwa kocha msaidizi kwa hiyo ninmti anayeijua timu na wachezaji wa Simba vizuri kwa kifupi alishindwa kutengeneza muunganiko mzuri.Kwa hiyo ulitaka Matola afanye miujiza ipi kwa muda mfupi aliopewa timu, kwa kweli kwanza kajitahidi sana, halafu ingekuwa simba imefungwa ndani ya dakika tisini hapo sawa, lakink issue ya penalty hata akina mesi na ronaldo wanakosa kwa hakuna cha ajabu hapo.
Kwa hiyo ulitaka Matola afanye miujiza ipi kwa muda mfupi aliopewa timu, kwa kweli kwanza kajitahidi sana, halafu ingekuwa simba imefungwa ndani ya dakika tisini hapo sawa, lakink issue ya penalty hata akina mesi na ronaldo wanakosa kwa hakuna cha ajabu hapo.
Sawa Mkia,Usiteme mate kila sehemu mama.Mimba ni jambo la kawaida
Waliotoa takwimu ni waongo tu hilo shuti hawakulionaHivi shuti LA dilunga kugonga mwamba siyo shot on target
Kikosi kipanaKwa hakika leo nimeona mchezo ninaoutaka. Timu kana utopolo wacheza mieleka ukicheza nao soft na marefa wetu walivyo, wanaweza kukuabisha sana. Ila leo nimeona physique, nimefurahi sana. Zile kelele za wazee leo sijazisikia.
Acha wabebe kikombe hicho wawe na faraja kidogo. Sisi kazi ni moja, klabu bingwa Afrika.
Simba nguvu moja
Kikosi kipana
Simba imepata million 18 yanga million 15 TIMU GANI IMEVUNA ZAID YA MWENZIEWakosaji huwa hawakosi maneno.
Kwahio Onyango na Kagere ni wanawake maana wameshindwa kupiga hilo shutiKibaya zaidi kuna demu wa utopolo alikuwa akizishangaa ndume za uto zikishangilia ushindi wa penalty kwa kuuliza,hivi si hata mimi naweza kupiga shuti kwa akili tu nikafunga?Tukamwambia huo ndio ukweli!
Aliwageuka kwa kuwaponda kuwa kama wao ni wanaume wangefunga kwenye battle ya dk 90
Amezaa tayari hawezi itwa tena mgumbaMgumba kazaa ndio hii sasa..
Kweli Rage hakukosea.Waliotoa takwimu ni waongo tu hilo shuti hawakuliona