Ngwega
JF-Expert Member
- Aug 6, 2019
- 589
- 626
Kaa kwa kutulia ka mkubwaMatusi hayasaidii dogo..wagumba Leo mmezaa basi yote kheri,
Kaa kwa kutulia ka mkubwaMatusi hayasaidii dogo..wagumba Leo mmezaa basi yote kheri,
Kuna shabiki yeyote wa Simba anayefudahia Simba kuvuna ela nyingi zaidi ya Yanga? Mashabiki wote wa Simba wanahuzuni ya kushindwa kumfunga Yanga. Mkitaka hata hilo.kombe Yanga anawaachia lakini mmefungwa kwa penati baada ya Sarpong kushindwa kumaliza gemu ndani ya dakika 90 kwa huruma zake kama qnacheza na wakwe zake. Lasivyo goli tatu zilikuwa zinawahusuSimba imepata million 18 yanga million 15 TIMU GANI IMEVUNA ZAID YA MWENZIE
+ Kufungwa tumefungwa lakini chenga tumewala na mitama tukawapiga 🤣Sizitaki mbichi hizi
Shot on PostHivi shuti LA dilunga kugonga mwamba siyo shot on target
Ndio mama, unaitaka?Una mimba shosti?
Mpaka unajua kusema ''Shosti'' yaelekea wewe mwanamama ni mdangaji na mchambaji sana weyeUna mimba shosti?
Wanawake mnapenda sana hilo jina ''Shosti'' mlibuniwa na mwenzenu Bi chau eehSawa shosti malaya
Watoto wa London kupasuka mna tabuKamuonyeshe na mumeo hio banned