Hongera mama Anna Mghwira

Mwaka wa uchaguzi utumieni vizuri kufanya upumbavu wenu wote watu wanasaka kura

Kuna wajinga watafikiri wamepotezewa kwa sababu Mwamposa hana hatia

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Yaani your religious beliefs zime cloud your decision making

Mpaka unakaa mbele ya umma unatetea vifo vya stampede?

Huyu mama punguani kabisa
 
SABAYA
Huyu pamoja na mapungufu yake ndiye aliyrongea kweli yoote ya biblia.
Kuwa
Mafuta
Fruto na vitu kama hivyo ni upoyoshaji.
Kuwa Yesu ndiye njia kweli na uzima na sio vitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watumishi wa Mungu ni nani na nani ? Na sisi waumini sio watumishi wa Mungu ? Au ni wafuasi wa " Watumishi wa Mungu"?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watumishi wa Mungu ni nani na nani ? Na sisi waumini sio watumishi wa Mungu ? Au ni wafuasi wa " Watumishi wa Mungu"?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi wote tunatakiwa tuwe watumishi wa Mungu! Kwamaana alitumba tumwabudu( tumutumikie) hivyo hapo ulipo unaweza kumutumikia Mungu! Na kumutumikia Mungu sio lazima usimame madhabahuni, chochote unachofanya. Unapaswa unifanye kwa utumufu wa Mungu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…