Hongera Lowassa, Hongera UKAWA

Mimi kura yangu haijapotea.Nina Diwani,Nina Kubenea,Thanks to Ngoyai.Hongera mimi, hongera CDM, hongera UKAWA.Pipoooooooooooooozzzz
Hata mimi sijilaumu. Nilichagua vizuri kabisa. Nina diwani wa CUF na mbunge wa CUF jimbo la Kinondoni. Kidogo tungezoa Dar Es Salaam yote. Naamini tumepiga hatua. Ninatamani hawa wa UKAWA waliopata nafasi wafanye kazi mpaka basi. Kwa wingi wa madiwani tuliopata wana uwezo wa kuchagua mameya wote pamoja na meya wa jiji. Natamani wachape kazi hasa. Ili 2020 tuzoe jiji zima. Pamoja na kuendelea kuimarisha harakati huko mikoani
 

pole fisadi pesa zetu ulizoziiba miaka mingi mungu ametuludishia kuna watu wanamaliza uchaguz wanamitaji mikubwa na wengine wakimalizia ujenzi ,wewe naona ulitaka ushinde mabaraza na jiji moja la dar,arusha na kilimanjaro kwingine kote umeisoma namba
 

Hongera Ukawa. hongera Luwasa.hongera Mbowe. hongera Mbatia. hongera Maalimu Seif. Hongra NLD familia ya Makaidi pokeeni hongera kwa niaba Baba. hongera mleta mada. Mungu yupamoja nasi.

Hongereni sana.
Nimependa mawazo yenu na mtizamo wenu.
Ni wakati wa kusonga mbele na kujenga taifa.

Kama kuna jambo moja ambalp watanzania tunalihitaji ni kutambua kuwa wananchi wana uwezo na wajibu wa kuisimamia na kuiwajibisha serikali na viongozi wao.

Jambo hili halifanyiki na linaleta sha shida nyingi.
 
Hongera UKAWA na Hongera Lowassa.
Hata tukiamini kuwa kura m6 ndizo alizopata, bado ni hatua muhimu sana kwa mabadiliko ya nchi yetu. Lowassa ameweza kuwaonyesha Watanzania kuwa sasa tunaweza kufanya siasa hata nje ya ccm.
Kwenye uchaguzi huu tulichagua Madiwani, Wabunge (wa kuchaguliwa) na Rais. Katika kura za rais, pia tulichagua Wabunge wa viti maalum. Hivyo hata kama azma ya kumfikisha Lowassa ikulu haikutimia, bado hatua tumeipiga. Tutapata madiwani wa viti maalum asilimia 40% kwa sasa, na zaidi mbegu ya mabadiliko imezidi kumea na kuchanua vyema.
 

Sure! So brilliant kwa mtazamo makini.
 
=Sigma;14503982]Slaa 2010 alipata kura 2,271, 941. Roughly in Kama Lowassa anakubalika mara Tatu zaidi ya Slaa.

Sigma

Ungetakiwa kuzingatia na idadi ya watu waliojiandikisha kupiga kura kati ya 2010 na 2015.. ni mtazamo wangu tu
 
Last edited by a moderator:
Si watoe nakala za kura zao kwenye majimbo zikiwa tofauti kiasi ha kuonesha hila ha NEC watu watawaunga mkono.
 
Muda wa kulialia tumeibiwa ushakwisha sasa ni mkakati maalum kila kijiji nchi kua Na ofisi ya ukawa alafu kila mwezi at least Mara 1 anakuja kiongoz mkubwa toka ukawa kuwa brash masumu ya nzi kijani vichwani mwao.. Peeeeepoooozzz
 
Eti Lowassa anaogopwa, aogopwe na nani kwa utajiri wake au!

Angekuwa haogopwi kituo cha haki za binadamu mmeenda kufanya nn???wenyewe mnahaha kama kuku anaeumwa na yai na hajapata pa kutagia don't fool yourself we have got a fake leader from fake process.take it from me and since everything is fake,don't expect miracles.
 
Kwangu Lowassa ndo Raisi na ni shujaa wa watanzania wengi,huyo mwingine namuonea huruma maana atafanya matakwa ya waliomuweka ikulu.
 
bado zimeibiwa nyingi lakini amepata 6,000,000. Tulipwaya sana nakujiamani kupita kiasi ndio maana ikawa rahisi kutumia nguvu ya dola kutumaliza. Hapo ndio tulipo jisahau tu.

Nakubaliana na wewe, mimi iliniuma sana baada ya viongozi wetu kukubali kutokulinda kura, mita 201 was inevitable, kama walimsoma JK baada ya hukumu alifurahi sana kwenye jukwaa, he knew that the game was over.

Lowassa umri wa miaka 62 ni mdogo sana sasa ni kutafuta tume huru 2020 njia tambalale
 
ccm tumeshinda ila dr magufuri uwe makini na utekereze ilani yako maana mwaka 2010, 61% ndio tulipata ushindi ila mwaka 2015 tumeshinda kwa 58% maana tumeshuka sasa tuwe makini sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Tumshukuru sana Mungu kwa kuinusuru nchi.UKAWA ingeshinda watanzania wangepata taabu mno
 
Wana mabadiliko... ujio wa lowassa umewafanya ccm kupanic na kuconcetrate bara na kuitelekeza zenj.... zenj ikaponyoka.... i am sure zanzibar will never be the same again
.. hongera Lowassa hongera ukawa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…