Hakuna mtu anayeweza mzidi Jiwe kwa ukaidi, kwani sisi tumemkosea nini Mungu mpaka alete mwingine kama huyu, tushatubu dhambi zetu hawezi keta adhabu ingine
Mtangazaji amemuuliza je kuna maamuzi magum yoyote utakayochukua labda kujiuzulu, jibu "sina maamuzi mengineyo zaidi ya dua tu na kuomba taasisi zizingatie utu katiba na uzalendo." jamaa ni mtu mwadilifu kweli kweli,
Ndani ya siku hizi kadhaa ukweli kwamba Assad ni chuma umedhihirika. Sasa Jiwe atuambie mbona hiki kipindi chake Wezi ni wachache lakini wanaiba kingi kuliko awamu nyingine?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.