Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,928
Nalipongeza JWTZ kwa kumiliki gari madhubuti la kivita aina ya Humvee.
Nilikuwa napitia wikpedia nikaona hiyo taarifa kwamba kwa East Africa ni Tanzania na Uganda kwa mbali.
Humvee sio gari la kitoto ni gari la deraya matata sana na kwenye uwanja wa Vita ni super utility to have.
Halipinduki hovyo kutokana na lilivyoundwa ni pana na fupi hivyo lina stance.
Hongera JWTZ.
Nilikuwa napitia wikpedia nikaona hiyo taarifa kwamba kwa East Africa ni Tanzania na Uganda kwa mbali.
Humvee sio gari la kitoto ni gari la deraya matata sana na kwenye uwanja wa Vita ni super utility to have.
Halipinduki hovyo kutokana na lilivyoundwa ni pana na fupi hivyo lina stance.
Hongera JWTZ.