Hongera JWTZ kwa kumiliki Humvee

gari la kawaida tu na halina maajabu yoyote na ukizingatia na uhalisia kuwa kwetu matumizi yake ni madogo kuliko vile tunadhani ni bora tujikite utengenezaji wa silaha zetu
 
Dah!kweli bado tupo nyuma,yani ukiangalia gari ambazo wanajeshi wa south Afrika wanatembelea mjini,hakika ni mara kumi zaidi ya hizi.
 
Nalipongeza JWTZ kwa kumiliki gari madhubuti la kivita aina ya Humvee.

Nilikuwa napitia wikpedia nikaona hiyo taarifa kwamba kwa East Africa ni Tanzania na Uganda kwa mbali.

Humvee sio gari la kitoto ni gari la deraya matata sana na kwenye uwanja wa Vita ni super utility to have.

Halipinduki hovyo kutokana na lilivyoundwa ni pana na fupi hivyo lina stance.

Hongera JWTZ.

View attachment 1563950View attachment 1563951
naam
 
Nalipongeza JWTZ kwa kumiliki gari madhubuti la kivita aina ya Humvee.

Nilikuwa napitia wikpedia nikaona hiyo taarifa kwamba kwa East Africa ni Tanzania na Uganda kwa mbali.

Humvee sio gari la kitoto ni gari la deraya matata sana na kwenye uwanja wa Vita ni super utility to have.

Halipinduki hovyo kutokana na lilivyoundwa ni pana na fupi hivyo lina stance.

Hongera JWTZ.

View attachment 1563950View attachment 1563951
Hiyo picha ya juu siyo humvee ila ni mRAP.Humvee ni hiyo ya chini.
 
Wata niruhusu kulitumia hapa bongo ni kuli sajili! Vip bei yake mkuu! Nina bajeti ya 200m
Usihofu nitakusimamia,mimi ni mtu mkubwa ndani ya system,kesho andaa milioni 5 nitakupa namba uingize kwa ajili ya kuprocess vibali..
 
Usihofu nitakusimamia,mimi ni mtu mkubwa ndani ya system,kesho andaa milioni 5 nitakupa namba uingize kwa ajili ya kuprocess vibali..
Poa mkuu ila system isije poteza mpunga wangu chonde chonde!!
 
Back
Top Bottom