T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 10,650
- 34,945
Umerudia kusema nilichokisemaNadhani kila silaha inakazi yake na mahali pake pa matumizi....sio kila sehem
Umerudia kusema nilichokisemaNadhani kila silaha inakazi yake na mahali pake pa matumizi....sio kila sehem
Baba mwenye nyumba alieyumba anawatukana mabeberu majukwaani ila nyuma ya majukwaa anawaabudu!Moja bei gani? Au za msaada kwa hisani ya mabeberu!?
Jr
naamNalipongeza JWTZ kwa kumiliki gari madhubuti la kivita aina ya Humvee.
Nilikuwa napitia wikpedia nikaona hiyo taarifa kwamba kwa East Africa ni Tanzania na Uganda kwa mbali.
Humvee sio gari la kitoto ni gari la deraya matata sana na kwenye uwanja wa Vita ni super utility to have.
Halipinduki hovyo kutokana na lilivyoundwa ni pana na fupi hivyo lina stance.
Hongera JWTZ.
View attachment 1563950View attachment 1563951
Hiyo picha ya juu siyo humvee ila ni mRAP.Humvee ni hiyo ya chini.Nalipongeza JWTZ kwa kumiliki gari madhubuti la kivita aina ya Humvee.
Nilikuwa napitia wikpedia nikaona hiyo taarifa kwamba kwa East Africa ni Tanzania na Uganda kwa mbali.
Humvee sio gari la kitoto ni gari la deraya matata sana na kwenye uwanja wa Vita ni super utility to have.
Halipinduki hovyo kutokana na lilivyoundwa ni pana na fupi hivyo lina stance.
Hongera JWTZ.
View attachment 1563950View attachment 1563951
Hivi me siwezi limiliki nikiwa na mkwanja kwa matumizi ya kawaida shambani kwanguBado MRaPS ziko njiani...
Pesa yako tu...yapo yanauzwa onlineHivi me siwezi limiliki nikiwa na mkwanja kwa matumizi ya kawaida shambani kwangu
Wata niruhusu kulitumia hapa bongo ni kuli sajili! Vip bei yake mkuu! Nina bajeti ya 200mPesa yako tu...yapo yanauzwa online
Usihofu nitakusimamia,mimi ni mtu mkubwa ndani ya system,kesho andaa milioni 5 nitakupa namba uingize kwa ajili ya kuprocess vibali..Wata niruhusu kulitumia hapa bongo ni kuli sajili! Vip bei yake mkuu! Nina bajeti ya 200m
Mo anaweza kumiliki ngapi hizi awanunulie jina kagere
Poa mkuu ila system isije poteza mpunga wangu chonde chonde!!Usihofu nitakusimamia,mimi ni mtu mkubwa ndani ya system,kesho andaa milioni 5 nitakupa namba uingize kwa ajili ya kuprocess vibali..
Tumejitaidi kwenye helicopter za mfaransa.et hatupendi show off tunapenda sana sema vitu vya mchina.Tatizo la bongo hata hiyo humvee nayo ya uchina kama ndege vita zetu
Sisi tunajisifia kwa kumiliki kagari kamoja wakati wenzetu wanapimana ubavu kwa kumiliki mitambo heavy ya kulinda anga + makombora ya masafa marefu achilia mbali drones!
Kweli safari yetu bado ndefu.
Nyumbu hiyo same ni copy by licenceWametengeneza pale Nyumbu au imetoka kwa MABEBELU?