nuruyamnyonge
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 4,446
- 2,301
Amejitakasa.Angalau ana Utanganyika.
...nami nimeshangaa leo kaibuka na maneno mazuri sijui kazaliwa upya!!! nimependa zaidi pale aliposema kwamba ili tupate Katiba inayostahili kitu MARIDHIANO haikiepukiki, na ili tufikie hayo maridhiano wajumbe hawana budi kuacha misimamo yao pembeni na wote kuwa na kauli moja yenye nia ya kujenga. Hivyo kusikilizana, kukubali kukosolewa ndani ya Bunge ndiyo njia pekee itakayotufikisha pale watanzania wanapopataka.
...nami nimeshangaa leo kaibuka na maneno mazuri sijui kazaliwa upya!!! nimependa zaidi pale aliposema kwamba ili tupate Katiba inayostahili kitu MARIDHIANO haikiepukiki, na ili tufikie hayo maridhiano wajumbe hawana budi kuacha misimamo yao pembeni na wote kuwa na kauli moja yenye nia ya kujenga. Hivyo kusikilizana, kukubali kukosolewa ndani ya Bunge ndiyo njia pekee itakayotufikisha pale watanzania wanapopataka.
Mi nilitarajia baada ya UKAWA kuondoka bungeni ingewachukua CCM less than an hour kupitisha rasimu yao. As long as wana rasimu yao tayari na wanakubaliana kwa 100% kuna haja gani ya kujadili tena...
Ni kweli lakini wale kwa posho huwatoki Dodoma wataendelea mpaka mwisho na katiba haitapatikana.
Kwani hayo ameyajua leo,mbona hayasemi akiwa mjengoni,au katumwa akasafishe hali ya hewa baada yakuona mambo yamewaelea,