Kosa kubwa ni Ikulu kutotengeneza CMS yake, fedha si zipo. Hili limewashinda nini? Basically kwa gharama za juu sana kutengeneza tovuti hii ni kati ya TZS 3,000,000 - 5,000,000 (gharama za kutengeneza tu) lakini si ajabu tukaambiwa zimetumiwa TZS 50mil au zaidi! Administration page basi iwe customized kidogo lol, -
ikulu.go.tz - Administration
Hii bg color ni ya nchi gani (GREEN), Tanzania? Au ndo wameamua kuchukua moja tu kwenye bendera ya Taifa?
Angalia link hii -
Blog manake nini?
Homepage peke yake ina
Total page size ya 1.18MB; ni kubwa sana hii na generally website haiko optimized.
Ngoja nisiendelee
oa