Hongera First Lady wa Awamu ya Tano, Mama Janeth Magufuli

mikuno

New Member
Apr 1, 2012
1
3
d26860a0-946a-4dbb-b040-bdfcf76613a7.jpg


Hongera FirstLady wa Awamu ya Tano.

Ni ukweli usiopingika Mheshimiwa Mama Janeth Magufuli ni picha halisi ya mama wa kitanzania.Kwa muda mfupi nimefuatilia matukio ambayo Mama yetu amekuwa akijitokeza nimewiwa kulisema hili hadharani kuwa ameimudu nafasi kwa ya ufirst lady kwa muda mfupi mno kuanzia muonekano wa kimavazi, hotuba na alichoanza kukifanya katika jamii kwa kuwasaidia wazee na watu wenye ulemavu wa ugonjwa wa ukoma.

Mungu akulinde wewe na Mh.Rais, wale wachache wenye husuda tumewazoea Usikatishwe tamaa Hapa Kazi Tu.
 
Mwalimu daima ni mtu mwema na mzuri, japo kuna waalimu bandia wanabaka watoto wetu
 
ha ha ha eti amegombea u first lady.. huo unakuja automatically alijua ku point enzi za ujana wake akachagua jembe
 
View attachment 341084

Hongera FirstLady wa Awamu ya Tano.

Ni ukweli usiopingika Mheshimiwa Mama Janeth Magufuli ni picha halisi ya mama wa kitanzania.Kwa muda mfupi nimefuatilia matukio ambayo Mama yetu amekuwa akijitokeza nimewiwa kulisema hili hadharani kuwa ameimudu nafasi kwa ya ufirst lady kwa muda mfupi mno kuanzia muonekano wa kimavazi, hotuba na alichoanza kukifanya katika jamii kwa kuwasaidia wazee na watu wenye ulemavu wa ugonjwa wa ukoma.

Mungu akulinde wewe na Mh.Rais, wale wachache wenye husuda tumewazoea Usikatishwe tamaa Hapa Kazi Tu.
Bora hata Mama Salma Kikwete alifanya mengi tuliyona na hakuna aliyetuadithia, mmh.... Punguzeni kutumika.
 
CHUAKACHARA

Amekuwa mke wa Rais. Wengine wanasahau duties zao kama wake, wanakuwa kama marais daraja la pili. Tunahitaji mtu asiyekuwa na political agenda! Huyu anakidhi mahitaji yetu!
 
Bora hata Mama Salma Kikwete alifanya mengi tuliyona na hakuna aliyetuadithia, mmh.... Punguzeni kutumika

Huyu wa WAMA alikuja Marekani na akamtumia Balozi Mwanaidi Maajar kuchangisha $$$ toka kwa matajiri wa U. S na ile michango akapeleka kwao Lindi!!!
 
View attachment 341084

Hongera FirstLady wa Awamu ya Tano.

Ni ukweli usiopingika Mheshimiwa Mama Janeth Magufuli ni picha halisi ya mama wa kitanzania.Kwa muda mfupi nimefuatilia matukio ambayo Mama yetu amekuwa akijitokeza nimewiwa kulisema hili hadharani kuwa ameimudu nafasi kwa ya ufirst lady kwa muda mfupi mno kuanzia muonekano wa kimavazi, hotuba na alichoanza kukifanya katika jamii kwa kuwasaidia wazee na watu wenye ulemavu wa ugonjwa wa ukoma.

Mungu akulinde wewe na Mh.Rais, wale wachache wenye husuda tumewazoea Usikatishwe tamaa Hapa Kazi Tu.
 
Back
Top Bottom