Hongera Dr Slaaa

Ila watoto wa ukubwani huwa wanawasumbua sana wazee wao, maoni yangu pengine Mhe dr slaa akiwa RAIS huyu dogo atakuwa mtukutu kuliko RIZ
 
Uongozi uanzia nyumbani,sio viongozi wa Magamba.eti peleka mtoto kwa mama yake hukoooooooooo.Tena angalia huyo mtoto analelewa kwenye nyumba ya kawaida.Haya tuwekeeni picha za viongozi wa magamba sasa hivi wapo na watoto wao.Ndipo utajua wezi akina nani?
 
Mzee noma huyu anafanya mambo yake kimya kimyaa

"Nchi ngumu hii"
 
Namuona kama Pure Tanzanian,mtu anayezijua shida za watanzania,huyo anayesafiri kila siku kwa watu kwako we ndio wa maana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…