Unajua tupo Libya kusaidia Serikali Tawala isianguke,tumewambia waende kimugabemugabe,ila kimya cha wanangangari si bure habari za ndani kabisa zinasema kuwa mambo yao yanakwenda kama walivyoyapanga ,hawana papara ,isipokuwa wanasema wanawaachia CDM walainishe njia.mwiba ...habari za siku.... naona umerudi na mradi wako wa pumba
Hivi uliona wapi kichwa kikafanana na miguu ?
Unajua tupo Libya kusaidia Serikali Tawala isianguke,tumewambia waende kimugabemugabe,ila kimya cha wanangangari si bure habari za ndani kabisa zinasema kuwa mambo yao yanakwenda kama walivyoyapanga ,hawana papara ,isipokuwa wanasema wanawaachia CDM walainishe njia.
Hivi ngangari bado wapo?
Hivi uliona wapi kichwa kikafanana na miguu ?