Nawapongeza channel 10 kwa kuonyesha uzalendo wa kurusha matangazo ya moja kwa moja kutoka kwenye vituo vya kupigia kura nchi nzima. Wakati huo television ya taifa inaendelea kurusha vipindi vyake vya kawaida.TBC jitambueni hili ni jukumu lenu kama television ya taifa