Sharo hiphop
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 660
- 99
Chama cha wananchi cuf, kimetanganza mkakati wa kufanya maandamano kupinga uhalifu wa polisi tz. Naona hii ni hatua mmojawapo ya kupinga ubabe wa polisi usio na maana kwani mara nyingi wamekuwa wanafanya kazi hasa za kupinga mambo mbalimbali kama maandamano ya vyama vya siasa, wanafunzi n.k mpaka wanaboa, nahisi hawa jamaa mara nyingi ni kama wanatumwa na ccm! Hongera cuf....
Ewe mwana jf, unayaona haya maandamano kivipi?
Naomba kuwasilisha.
Ewe mwana jf, unayaona haya maandamano kivipi?
Naomba kuwasilisha.