Hongera bwana Humphrey Polepole

Hongera bwana Humphrey Polepole

bomouwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2014
Posts
1,149
Reaction score
800
Yaani kweli ukistaajabu ya Mussa utaona ya firauni.. Juzijuzi nilipatwa na msiba sasa nkalazimika kusafiri kwenda kuzika, sasa kwakua ilikua ni mkoa ambao babu na bibi wanaishi ikanibidi niende kuwasalimia, yaani nlishangazwa bibi yangu akaniuliza hivi Humphrey Polepole mbona simsikii?
Unajua nlishikwa na butwaa kwa maana bibi yangu wala sio msomi lakini ni mfanya shughuli zake tu yaani nkasema kweli vijana wa dotcom wameteka tanzania mjini mpaka vijijini.

Hongera polepole
 
Yaani kweli ukistaajabu ya Mussa utaona ya firauni.. juzijuzi nilipatwa na msiba sasa nkalazimika kusafiri kwenda kuzika,sasa kwakua ilikua ni mkoa ambao babu na bibi wanaishi ikanibidi niende kuwasalimia,yaani nlishangazwa bibi yangu akaniuliza hivi Humphrey Polepole mbona simsikii?
unajua nlishikwa na butwaa kwa maana bibi yangu wala sio msomi lakini ni mfanya shughuli zake tu yaani nkasema kweli vijana wa dotcom wameteka tanzania mjini mpaka vijijini.
Hongera polepole
Ulimjibuje?
 
Yaani kweli ukistaajabu ya Mussa utaona ya firauni.. Juzijuzi nilipatwa na msiba sasa nkalazimika kusafiri kwenda kuzika, sasa kwakua ilikua ni mkoa ambao babu na bibi wanaishi ikanibidi niende kuwasalimia, yaani nlishangazwa bibi yangu akaniuliza hivi Humphrey Polepole mbona simsikii?
Unajua nlishikwa na butwaa kwa maana bibi yangu wala sio msomi lakini ni mfanya shughuli zake tu yaani nkasema kweli vijana wa dotcom wameteka tanzania mjini mpaka vijijini.

Hongera polepole

Hongera sana Humphrey; hiyo ni ishara kwamba your efforts have not been in vain; kuna watu wamesikia, wameona; wamekusikiliza wametambua na wamekukubali na kueleimika vya kutosha; keep it up Humphrey; wewe
ni tumaini la vijana
 
Tuache unafiki polepole ni kijana mzuri sana

Napenda point zake. Kama ni mkweli toka moyoni Mungu amtie nguvu zaidi na zaidi atatufaa sana humu nchini, nategemea mengi zaidi toka kwa kijana huyu.
 
Kwani mpaka umfahamu mtu
lazima uwe umesoma??

Tena manzania mwenzako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom