py thon
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 2,471
- 4,424
1.Jarida la Yanga sc kila mwezi litakuwa mtaani likiwa limebeba mseto wa habari mbalimbali za club ya yanga.
2.Dismas 10 mkuu wa idara ya mawasiliano wa yanga mafanikio yake mengine ametengeneza press room ya yanga na kuifanya ya kisasa na kuboresha ofisi.
3.website ya yanga mara ya mwisho kutumika ilikuwa sijui mwaka gani na ilikuwa hovyo lakini bwana Dismas ten katengeneza website ya yanga na saizi mashabiki wanaweza kununua jezi online ,kujiunga na uanachama online na kupata habari ,website ipo active..Muro alishindwa
4.Mwaka Juzi yanga ilipewa adhabu kwa kuchelewa kupeleka majina ya wachezaji Tff kwa mfumo wa Tms lakini mbeya city mapema walipeleka sababu kubwa ilikuwa ni Dismas ten mtaalamu,mbeya city ilikuwa na active website kuliko timu yeyote sababu ya mafanikio hayo ilikuwa ni Dismas ten ,Hongera mkwasa kwa kumuajiri Dismas ameleta mapinduzi jangwani
Jerry Muro alishindwa yote haya kazi yake ilikuwa ni kupigana mipasho na Manara na kuropoka.
Dismas ten hafanyi press za mara kwa mara za kipuuzi ndio maana heshima yake na yanga saizi ni ya kutukuka.lakini upande wa simba duu salale kila dakika 10 msemaji anaropoka na hapo hajishushi heshima yeye Bali na klabu ya simba inaonekana ni klabu ya kipuuzi.
Ni wakati wa simba nao wafanye mapinduzi kama wa yanga ,idara ya habari sio ya uropokaji au mipasho ,mfano msemaji wa serikali Dkt.Abbas anajitokeza pale tu kutoa taarifa,Ku-clarify au kusahihisha na ndio kazi Bwana Dismas anaifanya yanga ..ukitaka habari ingia kwenye website ambayo ipo active na nunua jarida
Uongozi wa simba fanyeni mapinduzi kama yanga walivyofanya heshima ya simba nje ya uwanja irudi.
2.Dismas 10 mkuu wa idara ya mawasiliano wa yanga mafanikio yake mengine ametengeneza press room ya yanga na kuifanya ya kisasa na kuboresha ofisi.
3.website ya yanga mara ya mwisho kutumika ilikuwa sijui mwaka gani na ilikuwa hovyo lakini bwana Dismas ten katengeneza website ya yanga na saizi mashabiki wanaweza kununua jezi online ,kujiunga na uanachama online na kupata habari ,website ipo active..Muro alishindwa
4.Mwaka Juzi yanga ilipewa adhabu kwa kuchelewa kupeleka majina ya wachezaji Tff kwa mfumo wa Tms lakini mbeya city mapema walipeleka sababu kubwa ilikuwa ni Dismas ten mtaalamu,mbeya city ilikuwa na active website kuliko timu yeyote sababu ya mafanikio hayo ilikuwa ni Dismas ten ,Hongera mkwasa kwa kumuajiri Dismas ameleta mapinduzi jangwani
Jerry Muro alishindwa yote haya kazi yake ilikuwa ni kupigana mipasho na Manara na kuropoka.
Dismas ten hafanyi press za mara kwa mara za kipuuzi ndio maana heshima yake na yanga saizi ni ya kutukuka.lakini upande wa simba duu salale kila dakika 10 msemaji anaropoka na hapo hajishushi heshima yeye Bali na klabu ya simba inaonekana ni klabu ya kipuuzi.
Ni wakati wa simba nao wafanye mapinduzi kama wa yanga ,idara ya habari sio ya uropokaji au mipasho ,mfano msemaji wa serikali Dkt.Abbas anajitokeza pale tu kutoa taarifa,Ku-clarify au kusahihisha na ndio kazi Bwana Dismas anaifanya yanga ..ukitaka habari ingia kwenye website ambayo ipo active na nunua jarida
Uongozi wa simba fanyeni mapinduzi kama yanga walivyofanya heshima ya simba nje ya uwanja irudi.