Joseph Ludovick
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 382
- 506
Wewe ni mmoja waoKwenye kongamano la TLS umeonyesha kuwa Jeshi la polisi na askari polisi wana upeo, wamekwenda shule na wana weledi wa mambo. Umeweza kukabili hadhira ambayo ina uadui na taasisi yako na bado ume deliver. Ipelelezi ni sayansi na hauwezi kuendeshwa kwa ushabiki maandazi.
Hongera tena.
ni muhimu zaid vyama vya siasa hususani upinzani, vikaachana na kutumia ushirikina, kutoana kafara na kuchukuana misukule katika kutafuta uongozi halafu wanasingizia wengine, hiyo ni uselessKwenye kongamano la TLS umeonyesha kuwa Jeshi la polisi na askari polisi wana upeo, wamekwenda shule na wana weledi wa mambo. Umeweza kukabili hadhira ambayo ina uadui na taasisi yako na bado ume deliver. Ipelelezi ni sayansi na hauwezi kuendeshwa kwa ushabiki maandazi.
Hongera tena.
Muliro ange spend tu weekend yake sehemu nyingine kuliko kwenda kwenye kongamano....amejidhalilisha sana yeye pamoja na jeshi lake la polisi...damu za watu siyo maji ndugu zanguKwenye kongamano la TLS umeonyesha kuwa Jeshi la polisi na askari polisi wana upeo, wamekwenda shule na wana weledi wa mambo. Umeweza kukabili hadhira ambayo ina uadui na taasisi yako na bado ume deliver. Ipelelezi ni sayansi na hauwezi kuendeshwa kwa ushabiki maandazi.
Hongera tena.
Muliro kasoma sheria ila kitendo cha kufuata maagizo ya kupindisha na kuvunja sheria kinamharibia sifa au "reputation" yake.Kwenye kongamano la TLS umeonyesha kuwa Jeshi la polisi na askari polisi wana upeo, wamekwenda shule na wana weledi wa mambo. Umeweza kukabili hadhira ambayo ina uadui na taasisi yako na bado ume deliver. Ipelelezi ni sayansi na hauwezi kuendeshwa kwa ushabiki maandazi.
Hongera tena.
Aah wapiKiukweli afande Muliro alijibu maswali kisomi na kitaalamu japokuwa alitegeka kwenye issue ya washikaji kumpeleka Sativa kituoni.Hao washikaji ni wakina nani?Tunasubiri upelelezi wa shauri hilo anadai Muliro Tuesday Muliro.
Jukwaa lako ni hiliKwenye kongamano la TLS umeonyesha kuwa Jeshi la polisi na askari polisi wana upeo, wamekwenda shule na wana weledi wa mambo. Umeweza kukabili hadhira ambayo ina uadui na taasisi yako na bado ume deliver. Ipelelezi ni sayansi na hauwezi kuendeshwa kwa ushabiki maandazi.
Hongera tena.
Hii inchi ndio maana hatuendelei kwa sampuli ya watu kama ww.Kwenye kongamano la TLS umeonyesha kuwa Jeshi la polisi na askari polisi wana upeo, wamekwenda shule na wana weledi wa mambo. Umeweza kukabili hadhira ambayo ina uadui na taasisi yako na bado ume deliver. Ipelelezi ni sayansi na hauwezi kuendeshwa kwa ushabiki maandazi.
Hongera tena.
Kwenye kongamano la TLS umeonyesha kuwa Jeshi la polisi na askari polisi wana upeo, wamekwenda shule na wana weledi wa mambo. Umeweza kukabili hadhira ambayo ina uadui na taasisi yako na bado ume deliver. Ipelelezi ni sayansi na hauwezi kuendeshwa kwa ushabiki maandazi.
Hongera tena.
You nailed itWewe ni mmoja waoView attachment 3117206
Kwenye kongamano la TLS umeonyesha kuwa Jeshi la polisi na askari polisi wana upeo, wamekwenda shule na wana weledi wa mambo. Umeweza kukabili hadhira ambayo ina uadui na taasisi yako na bado ume deliver. Ipelelezi ni sayansi na hauwezi kuendeshwa kwa ushabiki maandazi.
Hongera tena.
Aise huyu AFANDE MULIRO yuko vizuri sana. Mstaarabu ni ametulia sana. He is very wise,mature as well.Kwenye kongamano la TLS umeonyesha kuwa Jeshi la polisi na askari polisi wana upeo, wamekwenda shule na wana weledi wa mambo. Umeweza kukabili hadhira ambayo ina uadui na taasisi yako na bado ume deliver. Ipelelezi ni sayansi na hauwezi kuendeshwa kwa ushabiki maandazi.
Hongera tena.
jeshi ni kupokea amri na kuitekeleza kutoka kwa afande, sasa we ulitaka asitekeleze amri?Muliro kasoma sheria ila kitendo cha kufuata maagizo ya kupindisha na kuvunja sheria kinamharibia sifa au "reputation" yake.
ile tu kuhudhuria kongamano la TLS chaonyesha kwamba amesoma na ni mwelewa wa masuala mengi tu.
Kwahitajika mabadiliko makubwa kwenye sheria (regulations), miongozo na kanuni zinoongoza jeshi la polisi.
Kukifanyika hayo basi chuo cha polisi Moshi kitatoa wahitimu wazuri na pia chuo cha maofisa wenye shahada cha Kibasila, kitatoa maofisa waandamizi wenye kuelewa kwamba dunia yabadilika kila siku.
Ni kheri Ujinga kuliko Werevu utakaoleta machafuko yatakayompelekea mtanzania maangaiko.Wewe ni mmoja waoView attachment 3117206