prince john john
JF-Expert Member
- Aug 31, 2016
- 2,080
- 3,106
Daaaaaaah..... Anaiendeleza thread yake leo....Mkuu kuna Thread ulizianzisha Humu Ukiomba Ushauri juu ya Mume wako wa Ndoa Kulewa sana na Kuchelewa kurudi naomba niziandike vizuri kuzilink nimeshindwa.
Mama Katika Thread zako inaonekana ulifika Mahala ukakubaliana na Maisha ya Mumeo na hukupenda kabisa kugombana naye kwa kuwa kila jitihada zote ulizofanya ni kama vile ulikuwa unachochea kuni. Yaani Kama ni Uhuru Ulimpa vya kutosha Pia Kama ni Kuitunza Familia alikuwa Vizuri Pia.
- Mrejesho- hii uliiandika 2015
- Ushauri-Mwanaume Anakunywa Pombe mpaka hawezi kufanya tendo la Ndoa.
- Hivi inakuwaje hii Wanaume Jamani
- Wanaume kuweni wa wazi kwa wake zenu.
Mpendwa naomba utusaidie uliamua kubwaga Manyanga au unatafuta wa Pembeni?
Asante na Mungu akubariki sana.