Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala, Gabriel Fuime, ametangaza kuzuka kwa homa ya Nguruwe katika manispaa hiyo. Katika taarifa yake iliyotolewa jana Dar es Salaama, kwenye vyombo vya habari, Fuime alisema homa hiyo haina tiba, wala chanjo, Katika taarifa hiyo, mkurugenzi huyo ametoa onyo na kusema kuwa. kuanzia jana ni marufuku kusafirisha nguruwe na mazao yao nje ya manispaa hiyo ikiwemo nyama, mifupa. damu, soseji, mbolea na matandiko, Ni marufuku pia kusafirisha nguruwe kutoka katika mashamba na mabanda.
SOURCE. Mtanzania may 14, 2011
SOURCE. Mtanzania may 14, 2011