and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 28,263
- 39,804
Anawezeshwa na KQ ili awasaidie route za NBO-ZNZ, NBO-JRO, NBO-MWZ na NBO-DAR.....infact hata KQ wamebanwa mbavu na ET coz nao wamenunua Malawian Airlines (kuteka soko la Southern African countries) na ASKY (West Africa)...Naona Mzee Shirima na Precision yake amekomaa kibishi.
Anawezeshwa na KQ ili awasaidie route za NBO-ZNZ, NBO-JRO, NBO-MWZ na NBO-DAR.....infact hata KQ wamebanwa mbavu na ET coz nao wamenunua Malawian Airlines (kuteka soko la Southern African countries) na ASKY (West Africa).Naona Mzee Shirima na Precision yake amekomaa kibishi.
Mi nilidhani kwa kuwauzia zile 49% watakua wanamhujumu ili aje apotee kwny ramani halafu waingie mazima kwa kununua zile 51% maana kuna kipindi MD akiwa yule Mkenya hali ya precision ilikua ni tete balaa.Anawezeshwa na KQ ili awasaidie route za NBO-ZNZ, NBO-JRO, NBO-MWZ na NBO-DAR.....infact hata KQ wamebanwa mbavu na ET coz nao wamenunua Malawian Airlines (kuteka soko la Southern African countries) na ASKY (West Africa)....
**MD wa sasa pia ni Mkenya. Rwandair nao ni potential threat kwa KQ kwa route za East and West Africa hasa Lagos. Pia DubaiMi nilidhani kwa kuwauzia zile 49% watakua wanamhujumu ili aje apotee kwny ramani halafu waingie mazima kwa kununua zile 51% maana kuna kipindi MD akiwa yule Mkenya hali ya precision ilikua ni tete balaa.
Ila points zako nimezielewa sana,zina make sense sana.
Thnxs for the info mkuu,nimeona Uganda,Burundi zinafufua mashirika yao ya ndege.**MD wa sasa pia ni Mkenya. Rwandair nao ni potential threat kwa KQ kwa route za East and West Africa hasa Lagos. Pia Dubai
Ni kweli ila Uganda kitumbua kimeingia mchanga coz walitegemea pesa za msaada ama mkopo (sikumbuki vizuri)sasa wamezuia sijui kama itakwamisha au vipi.Thnxs for the info mkuu,nimeona Uganda,Burundi zinafufua mashirika yao ya ndege.
Hopefully zitaleta competition poa.
VITA VYA PANZI NI FURAHA YA KUNGURUKatika ile hali inayoonekana ya ushindani katika usafiri wa anga kufuatia ujio wa dreamliner ya Atcl,kampuni ya ndege fastjet imeanza kuruhusu abiria kusafiri na begi lisilozidi uzito wa 23kg pasipo malipo ya ziada pamoja na kugawa viburudisho mbalimbali ndani ya ndege.
Kwa hakika ushindani unaleta tija tunaomba makampuni mengine yaje ili nauli pia zishuke bei
View attachment 828667
Uganda & Burundi kufufua itachukua muda maana sidhan kama wana pesa ya kuleta Madege kama yetu. Tutumie udhaifu wao kunufaikaThnxs for the info mkuu,nimeona Uganda,Burundi zinafufua mashirika yao ya ndege.
Hopefully zitaleta competition poa.
haaa..haaa.haaa.... unaakili sana na unauwezo mkubwa sana wakutumia fursa na ikaleta tija!ndege ikipita juu pungeni mikono juu. Ni zoezi zuri kwa viungo. Mi faida kwenu hii.