sinajinasasa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 2,989
- 4,162
- Thread starter
-
- #61
Sina mpango wa kushauri mtu humu kwani nakujua? Hili jukwaa la kutoa mawazo yako sio kupeana ushauri..ikitokea sawaKaka hueleweki unasimamia nini na unatushauri sawa, lakini tujue unasimamia nini ili tusimame ktk hicho unachokiamini. Kama ni imani ktk Mungu sema, kama ni science sema ili tufahamu
Hapa hujaeleweka vizuri
Huna facts yoyote wewe..jinsi unavoniita mjinga unajionyesha wewe u mjinga maradufu.Acha ujinga huwezi kupunguza watu kwa kuwaua above 50 of age ambao hawana impact ktk uzao, ingekua ni kama unavyofikiri ujinga wako basi vaccination ingefanyika kwa infants
😂😂😂😂🤔🤔Sina mpango wa kushauri mtu humu kwani nakujua? Hili jukwaa la kutoa mawazo yako sio kupeana ushauri..ikitokea sawa
Hayo niliyoandika ni mawazo yangu
Mkuu amka,kwa sasa above 50 ndio target.Yes hawana uzao lakini as they say,they are "useless eaters!"Wanachukua pension,wanachafua mazingira and are non producers.Mtazamo wao ni kwamba anybody who remains on the planet must be beneficial to the planet.Acha ujinga huwezi kupunguza watu kwa kuwaua above 50 of age ambao hawana impact ktk uzao, ingekua ni kama unavyofikiri ujinga wako basi vaccination ingefanyika kwa infants
Hata vijana wanakufa bosiAcha ujinga huwezi kupunguza watu kwa kuwaua above 50 of age ambao hawana impact ktk uzao, ingekua ni kama unavyofikiri ujinga wako basi vaccination ingefanyika kwa infants
sinajinasasa amesema tu-download "Emeralds of Thoth"Wewe umepataje na umezitoa wapi hizi taarifa?
Hadithi za bulicheka.
Hekaya za Abunuwasi.
Hadithi za Juma na Uledi
Mada umeileta ya nn kumbe mmbea tuu hujui lolote
Kama lengo ni kupunguza idadi ya watu sa wao watapataje faida wakati wao wanatengeza bidhaa na service kwa ajili ya masoko na watu ndo masoko,Elon ana project nyingi zinazotegemea watu e.g magar,hyperloop project,space x nk. hizo zote zinahitaji watu ili wapate faida.chanjo haina madhara tusipotoshane.Ni jambo la ajabu sana ya akili za binadamu wa siku hizi kuwa hazifanyi kazi, nadhani ni kwa sababu ya kutumia Synthetic foods and drinks, because what you eat and drink, you become! Kila kona kumejaa vyakula na vinywaji vya bandia.
Television zimetuletea janga la Covid19 kwenye mind zetu na majority believe TV. Hatutafakari kabisa, hatujiulizi zaidi ya kufuata tunachoambiwa na authority kuwa ni kitu chema. Sigara na pombe vimeruhusiwa na authority kama kitu chema huku Ganja ikipigwa marufuku.
Kwa vile dini na serikali vyote vinaipinga, lakini ukichunguza utagundua ganja smokers wengi hawaumwi hovyo, otherwise awe anachanganya na vitu vingine. Leo hii dunia nzima tunaona watu wakijpeleka kuchanjwa Covid19.
Utata wa chanjo hii umekuja haraka kinyume na matakwa ya sayansi inavyosema kuwa kuhusu chanjo, sina muda wa kuandika kwa vile JF bango hili watalifuta, atakayewahi kusoma ni poa. Duniani tupo above 7Bln.
Illuminatti wanataka angalau watu wafike 500Mln, angalia google.." Georgia Stone" kuhusu bango linalohusiana na mahitaji ya ku maintain idadi ya watu duniani kuwa chini ya milioni 500. Kumekuwa na agenda za kupunguza idadi ya watu duniani kupitia Condoms (Magufuli aliwafukuza PSI wasambazaji wa condom), kumekuwepo campain za Vasectomy kufunga kizazi, vidonge vya kuzuia mimba.nk
Hii yote ni kuonyesha kuwa dunia ina tatizo la idadi ya watu na hivyo watu waamke na wapunguze idadi ya watu kuzaana. Ndo maana pia kuna vyakula na matunda ambavyo ni hybrid na GMO ambazo ulaji wake hupunguza mbegu za uzazi.
Illuminati wameshindwa kuwapunguza watu kwa njia ya vita, maradhi na Starvation mbali mbali, idadi bado inaongezeka. Hii ni hatari kwao.
Sasa imekuja teknology wa kuweka Microchip under our skin kwa kile kinachoitwa Vaccination, hizi ni computer devices using nano technology ambazo zitakuwa Linked na 5G network ambayo Elon Musk tajiri wa Spacex anapeleka Satelite za 5G kwenye low attitude orbit.
Ndo maana unaona kuna campain za watu kuchanja na sehemu nyingine wanatoa bonus kama USA na sehemu nyingine wanatumia Force kuchanja ili upate baadhi ya huduma.
Watu wanajipeleka wenyewe kwa hiari kwa vile tu TV imesema. But The holocaust is coming.
Mengi nimeyapa kutoka kwa "Illuminati insiders" ambapo wengine ni wema wana reveal mipango ya Illuminati kwa dunia yote.
Sasa endeleeni kutuona wajinga mnavopewa maonyo, nanyi JF endeleeni kufuta post kama hizi, huku mkijigamba eti
"Jf is a place where you can talk openly" Talks gani hizo ziwe openly?
Msifikiri tunamfuata Gwajima, huyo ni yeye kama yeye na atajijua na waumini wake.
Ishu ni kwamba wanataka kufanya maisha yaende wanavotaka wao, kwa maana kwamba kupunguza watu na kubaki na wachache ambao wote ama asilimia kubwa watakuwa wanaendana na matakwa yao na kisha hao wachache kuanza kuijaza tena duniaKama lengo ni kupunguza idadi ya watu sa wao watapataje faida wakati wao wanatengeza bidhaa na service kwa ajili ya masoko na watu ndo masoko,Elon ana project nyingi zinazotegemea watu e.g magar,hyperloop project,space x nk. hizo zote zinahitaji watu ili wapate faida.chanjo haina madhara tusipotoshane.
😂 😂 😂Na kwa nini umewa tag moderator? Sasa hivi wameenda Lunch wakirudi wanaufuta, wewe kumbe hujawajua hawa, nyuzi zote zenye kuamsha waliolala hufutwa!!