Holocaust Yaja

Fala wewe hujui kuwa nikisema Illuminati nina maanisha all secret societies wanao operate and controlling the Government and entities of the world from the shadow
Nimekuuliza swali ambalo ni sio level yako
Ww km tuuu endelea kumaanisha mkundu wk namna serikali Duniani inacontroliwa na hao wasenge wa illusion zako za hayo makalio yako makubwa
 
Mkuu nimekuwa na dini kwa muda mrefu, nimestaafu kuwa na dini.
Nimekuwa Conscious na kuona kumbe dini zote pia ni mali ya Illuminati.
It is a mind controlling tool
Ww hujui chochote km ww
 
Mkuu nimekuwa na dini kwa muda mrefu, nimestaafu kuwa na dini.
Nimekuwa Conscious na kuona kumbe dini zote pia ni mali ya Illuminati.
It is a mind controlling tool
Sio kweli,uliamini dini au uliamini chanzo au muongozo wa dini?
 
jitahidi usimjibu kila mtu,wengine tayari wameshakua na distorted minds na wengine wananufaika na hili suala,hivyo usitegemee kabisa watu wa namna hii wakuelewe kwenye mada kama hii.

Wanaojielewa huko nchi za wazungu wanaandama kabisa kutetea haki zao maana wanajua madhara yatakayotokea baadaye,sisi huku afrika akili nyingi zimeshakua distorted,kamwe hawawezi kuelewa haya mambo.
 
Chanjo ni kwa wote binadamu isippkuwa wao, they are above the laws of rhe world.
Ndo maana wanauwa watu kupitia majeshi waliyoyaunda na kuyatuma wakapigane
wanaoshabikia chanjo hata hawajui hiyo covid19 yenyewe ni nini....

Ukitaka kuthibitisha hili,waulize wakupe dalili MOJA TU,narudia,wakupe dalili MOJA TU ambayo ipo kwenye covid19 lakini huwezi kuikuta kwenye seasonal flu/Influenza.Hata madaktari wetu hawawezi kujibu swali hili kwa maana nao wanaendeshwa na mabango na sera za kimagharibi....Tangu lini mabwana zao FDA wakatae ku approve chanjo hii halafu wao makapuku madaktari uchwara waje kusema kwamba eti chanjo hii ni salama?....wanapata wapi ujasiri huo kama sio kuhongwa au distorted minds?....je,wana evidence gani kuonesha kwamba chanjo hii ni salama?....hapa huwezi kupata jibu kutoka kwao,labda wataleta siasa tu,maana ndicho wanachoweza.
 
"Illuminati walio wema"......... Matokeo ya Bangi kwa kawaida ni Hallucination.
 
Fala wewe hujui kuwa nikisema Illuminati nina maanisha all secret societies wanao operate and controlling the Government and entities of the world from the shadow
Nimekuuliza swali ambalo ni sio level yako
Kama ndio wanadhibiti serikali, Mbona serikali kama za China, Japan na Italy ziko kwenye kampeni ya kuongeza idadi ya watu?

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Mkuu nimekuwa na dini kwa muda mrefu, nimestaafu kuwa na dini.
Nimekuwa Conscious na kuona kumbe dini zote pia ni mali ya Illuminati.
It is a mind controlling tool
Kuwa dini sio kuwa muislam au mkristo. Kuwa na dini maana yake ni kufungwa na mafundisho/mawazo fulani pasi na kuwa na kuongozwa na uwezo wako binafsi wa kutafakari (self incurred tutalage). Huwezi kuwa conscious huku mawazo yako hayaongozwi na kufikiri.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Kama ndio wanadhibiti serikali, Mbona serikali kama za China, Japan na Italy ziko kwenye kampeni ya kuongeza idadi ya watu?

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Swali zuri ila jiulize pia kwa nini sera za kuzaa mtoto mmoja zimedumu kwa muda mrefu hadi leo ndo wameruhusu.
Ni hivi "illuminati wamekusudia kuwafanya watu their slaves" unaweza kuona pia working class of people are just slaves iwe umeajiliwa au hujaajiliwa, we are slaves for them. .
Yaani all people who are working for money are slaves.
Hivyo kujibu swali lako, wameruhusu kuzaana kwa vile working class of people inaisha wanabaki wazee tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…