Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,838
Tangu nimeanza kufuatilia Upinzani Tanzania hasa Chama Kikuu cha Upinzani CHADEMA kupitia nyota wao Bw.Slaa sijawahi kusikia hata siku moja akisema atafanya nini tofauti na CCM zaidi ya kukosoa tu!
Kwa mfano hapa juzi nilimsikia akisema siku hizi WatanZania hawali nyama, mara akasema wengi wetu (Watz) hatunywi chai asubuhi kwa sababu hatuwezi kununua chai jambo ambalo ni kweli lkn mbona kila Mtz analijua hili?
Hata mtoto wa Shule ya msingi anajua kwamba kuna Watz wengi hawawezi kununua nyama, kitu ambacho nimekikosa kwake ni kwamba suluhisho lake ni lipi? Yaani yeye (CHADEMA) watatua vipi hilo tatizo?
Utasikia mtoto anamaliza Shule ya msingi hajui kusoma wala kuandika mara Hospitali hakuna Dawa sijui tunapoteza masaa matatu barabarani kwenye foleni anaongea kana kwamba amegundua Sayari mpya na sasa anatuarifu...
Kwa mfano hapa juzi nilimsikia akisema siku hizi WatanZania hawali nyama, mara akasema wengi wetu (Watz) hatunywi chai asubuhi kwa sababu hatuwezi kununua chai jambo ambalo ni kweli lkn mbona kila Mtz analijua hili?
Hata mtoto wa Shule ya msingi anajua kwamba kuna Watz wengi hawawezi kununua nyama, kitu ambacho nimekikosa kwake ni kwamba suluhisho lake ni lipi? Yaani yeye (CHADEMA) watatua vipi hilo tatizo?
Utasikia mtoto anamaliza Shule ya msingi hajui kusoma wala kuandika mara Hospitali hakuna Dawa sijui tunapoteza masaa matatu barabarani kwenye foleni anaongea kana kwamba amegundua Sayari mpya na sasa anatuarifu...