Hoja za Askofu Gwajima hazina udini wala ukabila, machawa na wanafiki wanapotosha makusudi

Hoja za Askofu Gwajima hazina udini wala ukabila, machawa na wanafiki wanapotosha makusudi

jindundu

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2025
Posts
679
Reaction score
580
Baada ya hapo jana Askofu Gwajima kutoa ushauri na maoni juu ya mambo mbali mbali yanayoendelea nchini, wameibuka wanafiki machawa na wasema ovyo humu Jf kutaka kuushawishi umma kuwa katika hoja za Gwajima kuna ukabila na udini.

Jambo hili ni hatari na baya mno kwa amani, umoja na Mshikamano wa Taifa letu

Aidha mitazamo ya aina hii ikiachwa iendelee inafifisha kama si kuondoa kabisa haki ya raia kutoa maoni.

Katika ujumbe wake kwa Serikali, hakuna mahali popote aliposema watu wasiende kupiga kura, hakuna mahali popote aliposema kwa vile nchi hii Kiongozi wake ni Muislamu, Wakristo wasiende kupiga kura, hakuna!

Alichojaribu kuonyesha ni kwamba makando kando yaliyopo baina ya Serikali na baadhi ya Taasisi za dini ikiwa ni pamoja na Kanisa lake yasipopatiwa ufumbuzi, waumini wake wanaweza wasipigie CCM kura? Kuna kosa gani hapo?

Gwajima kasema wapo wanaolia na kuomboleza kwa ajili ya ndugu zao waliopotea hawajulikani walipo, wengine wameuawa, wengine wamepigwa. Haya mambo hayapo? Anaposema yakomeshwe na kwamba yasipokomeshwa wahanga wanaweza wasipigie kura Chama chake, Kuna kosa gani hapo??

Gwajima anaposema tunaenda kwenye Uchaguzi wengine wamo gerezani, Chama chao kwa sababu hizi na zile Chama chao kipo kama halipo, anapotoa rai kuwepo kwa maridhiano ya kitaifa ili kujenga heshima ya Chama, umoja Mshikamano wa kitaifa Hilo ndilo kosa??

Hakuna udini wala ukabila kutokana na hoja za Gwajima ispokuwa Kuna watu kwa sababu zao wanaleta vioja na uzushi kuwa Kuna elements za ukabila na udini kwenye hoja za Gwajima.

Wengine wanasema Gwajima hana haki ya kusema haya eti kwa vile hata wakati wa JPM Makanisa yalifungwa na watu walitekwa na.kuuawa, alikuwepo na hakusema. Hizi si hoja baali vioja tupu.

Sawa, hakusema wakati huo lakini Sasa kasema. Hilo ni kosa? Wewe ambaye ulikuwepo wakati ule yanatendeka hayo hukusema, na Sasa yanatendeka husemi tena unakosoa wanaoyasema, nani mwenye akili??

Tuache unafiki, mnafiki ni mbaya kuliko mchawi, viongozi wetu siyo Malaika wanakosea kama sisi sote. Tunapokataa ukweli huu, tunajidanganya na kujazana ujinga!
 
Baada ya hapo jana Askofu Gwajima kutoa ushauri na maoni juu ya mambo mbali mbali yanayoendelea nchini, wameibuka wanafiki machawa na wasema ovyo humu Jf kutaka kuushawishi umma kuwa katika hoja za Gwajima kuna ukabila na udini.

Jambo hili ni hatari na baya mno kwa amani, umoja na Mshikamano wa Taifa letu

Aidha mitazamo ya aina hii ikiachwa iendelee inafifisha kama si kuondoa kabisa haki ya raia kutoa maoni.

Katika ujumbe wake kwa Serikali, hakuna mahali popote aliposema watu wasiende kupiga kura, hakuna mahali popote aliposema kwa vile nchi hii Kiongozi wake ni Muislamu, Wakristo wasiende kupiga kura, hakuna!

Alichojaribu kuonyesha ni kwamba makando kando yaliyopo baina ya Serikali na baadhi ya Taasisi za dini ikiwa ni pamoja na Kanisa lake yasipopatiwa ufumbuzi, waumini wake wanaweza wasipigie CCM kura? Kuna kosa gani hapo?

Gwajima kasema wapo wanaolia na kuomboleza kwa ajili ya ndugu zao waliopotea hawajulikani walipo, wengine wameuawa, wengine wamepigwa. Haya mambo hayapo? Anaposema yakomeshwe na kwamba yasipokomeshwa wahanga wanaweza wasipigie kura Chama chake, Kuna kosa gani hapo??

Gwajima anaposema tunaenda kwenye Uchaguzi wengine wamo gerezani, Chama chao kwa sababu hizi na zile Chama chao kipo kama halipo, anapotoa rai kuwepo kwa maridhiano ya kitaifa ili kujenga heshima ya Chama, umoja Mshikamano wa kitaifa Hilo ndilo kosa??

Hakuna udini wala ukabila kutokana na hoja za Gwajima ispokuwa Kuna watu kwa sababu zao wanaleta vioja na uzushi kuwa Kuna elements za ukabila na udini kwenye hoja za Gwajima.

Wengine wanasema Gwajima hana haki ya kusema haya eti kwa vile hata wakati wa JPM Makanisa yalifungwa na watu walitekwa na.kuuawa, alikuwepo na hakusema. Hizi si hoja baali vioja tupu.

Sawa, hakusema wakati huo lakini Sasa kasema. Hilo ni kosa? Wewe ambaye ulikuwepo wakati ule yanatendeka hayo hukusema, na Sasa yanatendeka husemi tena unakosoa wanaoyasema, nani mwenye akili??

Tuache unafiki, mnafiki ni mbaya kuliko mchawi, viongozi wetu siyo Malaika wanakosea kama sisi sote. Tunapokataa ukweli huu, tunajidanganya na kujazana ujinga!
1. Wavaa bakozi wanajua nguvu ya ukristo. Ndiyo maana wanakuwa na hofu wakiona kuna mkristo katoa ushauri wake.

2. Wavaa bakozi wanajua nguvu ya Katoliki. Kwa sababu Gwajima kaongelea nguvu ya Katoliki wanasema udini. Wakati wao ndo madini haswaaa. Nchi za utawala wa Islamic wakristo wanaonewa sana. Lakini wao Islamic kwenye nchi za wakristo wengi hawabughuziwa hata kidogo. Mfano ni hapo tu Zanzibar na Iran.

3. Wavaa bakozi wanatetea urais wa muislamu. Akili zao zote wanafikiri nchi hii ina Rais wa kiislamu. Oooo wanampinga kwa sababu ni mwisilamu, mara wanampinga kwa sababu ni mwanamke. Wanampinga kwa sababu ni mzanzibari. Upuuzi mtupu. Wamejaa udini udini mpaka makalioni.

4. Tatizo wao wana Ilimu tu ili hali wenzao wana Elimu. Mwenye akili utajua nina maanisha nini.
 
Jinga pumbaaavu mama'yo!
Hebu tulia we kenge! Udini umemzidi mpaka ameshindwa kutumia angalau tafsida............karibuni sana, wengine kupambania haki ni Ibada.
 
1. Wavaa bakozi wanajua nguvu ya ukristo. Ndiyo maana wanakuwa na hofu wakiona kuna mkristo katoa ushauri wake.

2. Wavaa bakozi wanajua nguvu ya Katoliki. Kwa sababu Gwajima kaongelea nguvu ya Katoliki wanasema udini. Wakati wao ndo madini haswaaa. Nchi za utawala wa Islamic wakristo wanaonewa sana. Lakini wao Islamic kwenye nchi za wakristo wengi hawabughuziwa hata kidogo. Mfano ni hapo tu Zanzibar na Iran.

3. Wavaa bakozi wanatetea urais wa muislamu. Akili zao zote wanafikiri nchi hii ina Rais wa kiislamu. Oooo wanampinga kwa sababu ni mwisilamu, mara wanampinga kwa sababu ni mwanamke. Wanampinga kwa sababu ni mzanzibari. Upuuzi mtupu. Wamejaa udini udini mpaka makalioni.

4. Tatizo wao wana Ilimu tu ili hali wenzao wana Elimu. Mwenye akili utajua nina maanisha nini.
Angalia hili, linaongea kama limezibuliwa mtaro na katekista vile.
 
Unapoishia kutukana ni wazi wewe siyo tu kwamba ni mjinga baali ni akili Sungwi. Watoa matusi asili yao ni watoto wa mitaani ambao mama zao waliliwa mande na masela likatoka litoto la ajabu ajabu. Waislam tunaita mwanaharamu!
 
Baada ya hapo jana Askofu Gwajima kutoa ushauri na maoni juu ya mambo mbali mbali yanayoendelea nchini, wameibuka wanafiki machawa na wasema ovyo humu Jf kutaka kuushawishi umma kuwa katika hoja za Gwajima kuna ukabila na udini.

Jambo hili ni hatari na baya mno kwa amani, umoja na Mshikamano wa Taifa letu

Aidha mitazamo ya aina hii ikiachwa iendelee inafifisha kama si kuondoa kabisa haki ya raia kutoa maoni.

Katika ujumbe wake kwa Serikali, hakuna mahali popote aliposema watu wasiende kupiga kura, hakuna mahali popote aliposema kwa vile nchi hii Kiongozi wake ni Muislamu, Wakristo wasiende kupiga kura, hakuna!

Alichojaribu kuonyesha ni kwamba makando kando yaliyopo baina ya Serikali na baadhi ya Taasisi za dini ikiwa ni pamoja na Kanisa lake yasipopatiwa ufumbuzi, waumini wake wanaweza wasipigie CCM kura? Kuna kosa gani hapo?

Gwajima kasema wapo wanaolia na kuomboleza kwa ajili ya ndugu zao waliopotea hawajulikani walipo, wengine wameuawa, wengine wamepigwa. Haya mambo hayapo? Anaposema yakomeshwe na kwamba yasipokomeshwa wahanga wanaweza wasipigie kura Chama chake, Kuna kosa gani hapo??

Gwajima anaposema tunaenda kwenye Uchaguzi wengine wamo gerezani, Chama chao kwa sababu hizi na zile Chama chao kipo kama halipo, anapotoa rai kuwepo kwa maridhiano ya kitaifa ili kujenga heshima ya Chama, umoja Mshikamano wa kitaifa Hilo ndilo kosa??

Hakuna udini wala ukabila kutokana na hoja za Gwajima ispokuwa Kuna watu kwa sababu zao wanaleta vioja na uzushi kuwa Kuna elements za ukabila na udini kwenye hoja za Gwajima.

Wengine wanasema Gwajima hana haki ya kusema haya eti kwa vile hata wakati wa JPM Makanisa yalifungwa na watu walitekwa na.kuuawa, alikuwepo na hakusema. Hizi si hoja baali vioja tupu.

Sawa, hakusema wakati huo lakini Sasa kasema. Hilo ni kosa? Wewe ambaye ulikuwepo wakati ule yanatendeka hayo hukusema, na Sasa yanatendeka husemi tena unakosoa wanaoyasema, nani mwenye akili??

Tuache unafiki, mnafiki ni mbaya kuliko mchawi, viongozi wetu siyo Malaika wanakosea kama sisi sote. Tunapokataa ukweli huu, tunajidanganya na kujazana ujinga!
Kwahiyo kutoa wito kwa wakristo kuwa wasimpigie kura ni sahihi? Kwanini asingesema watanzania.
 
Sijasoma ulichoandika nimeangalia kichwa cha habari tu lkn unaweza ona hapa chini nilicho andika kuonyesha Gwaj ana udini tena wa wazi wazi

Huyo mtu ni mdini sana ( sina maana asishawishi watu waende kwenye imani yake kwa mahubiri ya kutangaza uzuri na ukombozi mtu akifata imani yake ) ila ni mdini na chuki

Kuna matamshi yake yapo na picha mjongeo zipo akisema anatamani sana Nchi hii hizi Madrassa ( najua unajua ni sehemu za kufundishia dini ya uislam) ziwe Sunday schools - kauli hii ikisemwa ndani ya kanisa sio mbaya lkn ukisema kwenye hadhara kama alivyosema ina maana maamuzi yako na matendo yako ni kusukuma hii mitizamo kwa njia zozote hata njia za porini

Pili kuna clip anazungumzia namna ya utajiri ulivyokamatwa na wajasiriamali wa Kislam ( hata kama ni wenye asili ya Asia/Middle East na maalumu Wa arabs) na hasa kwa upande wa biashara ya mafuta na chains nzima hiyo mpaka petrol stations kama alikuwa hapendi hiyo hali hivi mtu kama huyu ikitokea kuna ku hujumu miundo mbinu hiyo ya mafuta na petrol stations kama ilivyotokea karibuni ( Lake oils ni ya Ally Awadh kama kuna mwanasiasa wenu humo na pesa zenu ziliibwa ,peleka ushahidi na vielelezo mahakamani kinyume chake ni hujuma) si unaweza ona kama anahusika na labda hata hausiki lkn kauli zake za nyuma ndo zina muhukumu

Na la mwisho ambalo sio la muhimu na ni la maisha yake binafsi na atajua yeye na Mungu wake ,kuna rafiki yangu alikuwa anachapa nae demu mmoja aka kimada wake huyo Gwaj boy
 
Back
Top Bottom