Hoja pekee iliyobaki kwa wapinzani ni kumsingizia Rais kuwa anavunja Katiba

Lendomz

JF-Expert Member
Feb 9, 2017
446
381
1.Ufisadi uko controlled
2.wafanyakazi hewa wako controlled
3 .wezi bandalini wako controlled
4.madawati yametolewa
5.barabara zinajengwa
6.vitanda mahospitali vimetolewa
7.reli ya umeme inajengwa
8.flyover inajengwa
9.mabweni UDSM yamejengwa
10.ATCL imefufuliwa kwa manunuzi ya ndenge MPYA kabisa!
11. Elimu bure imetolewa hadi form four
12.mikopo ya elimu ya juu inatolewa
Niseme nini basi! Mda hautoshi na wino utaisha ..fantastic!!!! Say bravo to our president!!!

Mh Rais kafanya hayo kwa mda mchache hivi!! Lakini wapinzani wanaona mh rais kwa kufanya hayo yote ni kuvunja katiba ya nchi!!
Inashangaza sana!!! Mafisadi walipokuwa wanaiba hadharani ,ATCL ilipokuwa imekufa viongozi waliyokuwepo hawakuwa wanavunja katiba!Kwa wapinzani wetu Leo wanaona maendeleo yanayoletw na Bulldozer wetu JPM ni kuvunja katiba!!! This is more than ujinga!!
Amka mtanzania!! Acha kusikiliza upinzani uchwara wasiokuwa na hoja Bali kumsingizia kipenzi chetu JPM!! Wanatumia uvivu wetu na kutokujua kwetu kutulagayi!! Wiongozi wao ni matajiri wana mipesa huko mabenki lakini watoto wetu ni wakudeki Barbara wakubwa hao wanapopita!!! Wamejenga mihoteli lakini watoto wa maskini wanawalagayi kwa kuwapa tupesa ili wanywe viroba na sikuwasaidia waende shule au kujiendeleza kielimu au kimaisha!! Vijana wetu walipewa vi bodaboda na ndiyo hizo zimemaliza wanaume ambao ndiyo taifa LA kesho!!vijana wa kike kuna hatari kutokuolewa maana vijana wameharibiwa na viroba na wengine kufa kwa kuendesha bodahoda za zawadi huku wakiwa wamevuta bangi na kunywa viroba!!


Amka mtanzania!! Tanzania kwanza vyama baadae
 
Mkuu, Mke wangu kajifungua Muhimbili kaenda na karibia 95% ya Vifaa vya kujifungulia mbaya zaidi kalala chini sasa sijui hivyo vitanda unavyosema kapeleka wapi....
Niko na mtoto kasoma Kantalamba kuanzia form one to form four afu kanyimwa mkopo sa sijui hiyo mikopo uliyosema inaenda wapi...
Mtoto wangu wa mwisho yuko Darasa la tatu huku Rorya, Kila siku anapeleka Michango shule sasa sijui tafsiri ya Elimu Bure...
Kuna mda najiuliza ni mimi tu nayaona haya matatizo au watanzania wote
 
1.Ufisadi uko controlled
2.wafanyakazi hewa wako controlled
3 .wezi bandalini wako controlled
4.madawati yametolewa
5.barabara zinajengwa
6.vitanda mahospitali vimetolewa
7.reli ya umeme inajengwa
8.flyover inajengwa
9.mabweni UDSM yamejengwa
10.ATCL imefufuliwa kwa manunuzi ya ndenge MPYA kabisa!
11. Elimu bure imetolewa hadi form four
12.mikopo ya elimu ya juu inatolewa
Niseme nini basi! Mda hautoshi na wino utaisha ..fantastic!!!! Say bravo to our president!!!

Mh Rais kafanya hayo kwa mda mchache hivi!! Lakini wapinzani wanaona mh rais kwa kufanya hayo yote ni kuvunja katiba ya nchi!!
Inashangaza sana!!! Mafisadi walipokuwa wanaiba hadharani ,ATCL ilipokuwa imekufa viongozi waliyokuwepo hawakuwa wanavunja katiba!Kwa wapinzani wetu Leo wanaona maendeleo yanayoletw na Bulldozer wetu JPM ni kuvunja katiba!!! This is more than ujinga!!
Amka mtanzania!! Acha kusikiliza upinzani uchwara wasiokuwa na hoja Bali kumsingizia kipenzi chetu JPM!! Wanatumia uvivu wetu na kutokujua kwetu kutulagayi!! Wiongozi wao ni matajiri wana mipesa huko mabenki lakini watoto wetu ni wakudeki Barbara wakubwa hao wanapopita!!! Wamejenga mihoteli lakini watoto wa maskini wanawalagayi kwa kuwapa tupesa ili wanywe viroba na sikuwasaidia waende shule au kujiendeleza kielimu au kimaisha!! Vijana wetu walipewa vi bodaboda na ndiyo hizo zimemaliza wanaume ambao ndiyo taifa LA kesho!!vijana wa kike kuna hatari kutokuolewa maana vijana wameharibiwa na viroba na wengine kufa kwa kuendesha bodahoda za zawadi huku wakiwa wamevuta bangi na kunywa viroba!!


Amka mtanzania!! Tanzania kwanza vyama baadae
Unatumia makalio kufikisha Ujumbe sio
 
Mkuu, Mke wangu kajifungua Muhimbili kaenda na karibia 95% ya Vifaa vya kujifungulia mbaya zaidi kalala chini sasa sijui hivyo vitanda unavyosema kapeleka wapi....
Niko na mtoto kasoma Kantalamba kuanzia form one to form four afu kanyimwa mkopo sa sijui hiyo mikopo uliyosema inaenda wapi...
Mtoto wangu wa mwisho yuko Darasa la tatu huku Rorya, Kila siku anapeleka Michango shule sasa sijui tafsiri ya Elimu Bure...
Kuna mda najiuliza ni mimi tu nayaona haya matatizo au watanzania wote
Ulivyo BASHITE(0%)...,hata kutaja vyeti Fake hujataja. Kama Kuna viroba vipo chini ya utawala gani?..., hao vijana wasiojielewa wamesoma shule zipi mpaka wawe wajinga kiasi hicho?, BASHITE(0%) atawadhalilisha Sana na Mtajikomba mpaka mkombeke.
 
~Umesahau kuwa unga bei juu
~Vyeti vimefojiwa kama kawaida
~Wale walioitwa watumishi hewa bado wanalipwa mishahara hadi leo
 
Ulivyo BASHITE(0%)...,hata kutaja vyeti Fake hujataja. Kama Kuna viroba vipo chini ya utawala gani?..., hao vijana wasiojielewa wamesoma shule zipi mpaka wawe wajinga kiasi hicho?, BASHITE(0%) atawadhalilisha Sana. Mtajikomba Sana.
Mkuu hii Quote ni yangu kweli...
 
Hivi hayo yamo kwenye katiba ya nchi au kwenye ilani ya chama cha mapinduzi?samahani nataka kujua
 
1.Ufisadi uko controlled
2.wafanyakazi hewa wako controlled
3 .wezi bandalini wako controlled
4.madawati yametolewa
5.barabara zinajengwa
6.vitanda mahospitali vimetolewa
7.reli ya umeme inajengwa
8.flyover inajengwa
9.mabweni UDSM yamejengwa
10.ATCL imefufuliwa kwa manunuzi ya ndenge MPYA kabisa!
11. Elimu bure imetolewa hadi form four
12.mikopo ya elimu ya juu inatolewa
Niseme nini basi! Mda hautoshi na wino utaisha ..fantastic!!!! Say bravo to our president!!!

Mh Rais kafanya hayo kwa mda mchache hivi!! Lakini wapinzani wanaona mh rais kwa kufanya hayo yote ni kuvunja katiba ya nchi!!
Inashangaza sana!!! Mafisadi walipokuwa wanaiba hadharani ,ATCL ilipokuwa imekufa viongozi waliyokuwepo hawakuwa wanavunja katiba!Kwa wapinzani wetu Leo wanaona maendeleo yanayoletw na Bulldozer wetu JPM ni kuvunja katiba!!! This is more than ujinga!!
Amka mtanzania!! Acha kusikiliza upinzani uchwara wasiokuwa na hoja Bali kumsingizia kipenzi chetu JPM!! Wanatumia uvivu wetu na kutokujua kwetu kutulagayi!! Wiongozi wao ni matajiri wana mipesa huko mabenki lakini watoto wetu ni wakudeki Barbara wakubwa hao wanapopita!!! Wamejenga mihoteli lakini watoto wa maskini wanawalagayi kwa kuwapa tupesa ili wanywe viroba na sikuwasaidia waende shule au kujiendeleza kielimu au kimaisha!! Vijana wetu walipewa vi bodaboda na ndiyo hizo zimemaliza wanaume ambao ndiyo taifa LA kesho!!vijana wa kike kuna hatari kutokuolewa maana vijana wameharibiwa na viroba na wengine kufa kwa kuendesha bodahoda za zawadi huku wakiwa wamevuta bangi na kunywa viroba!!


Amka mtanzania!! Tanzania kwanza vyama baadae


Nasema BRAVOOOOO kwa rais wetu. Wapinzani hawana kipya, wao wanataka kuchukua nchi ili wafanye biashara zao uchwara.
 
1.Ufisadi uko controlled
2.wafanyakazi hewa wako controlled
3 .wezi bandalini wako controlled
4.madawati yametolewa
5.barabara zinajengwa
6.vitanda mahospitali vimetolewa
7.reli ya umeme inajengwa
8.flyover inajengwa
9.mabweni UDSM yamejengwa
10.ATCL imefufuliwa kwa manunuzi ya ndenge MPYA kabisa!
11. Elimu bure imetolewa hadi form four
12.mikopo ya elimu ya juu inatolewa
Niseme nini basi! Mda hautoshi na wino utaisha ..fantastic!!!! Say bravo to our president!!!

Mh Rais kafanya hayo kwa mda mchache hivi!! Lakini wapinzani wanaona mh rais kwa kufanya hayo yote ni kuvunja katiba ya nchi!!
Inashangaza sana!!! Mafisadi walipokuwa wanaiba hadharani ,ATCL ilipokuwa imekufa viongozi waliyokuwepo hawakuwa wanavunja katiba!Kwa wapinzani wetu Leo wanaona maendeleo yanayoletw na Bulldozer wetu JPM ni kuvunja katiba!!! This is more than ujinga!!
Amka mtanzania!! Acha kusikiliza upinzani uchwara wasiokuwa na hoja Bali kumsingizia kipenzi chetu JPM!! Wanatumia uvivu wetu na kutokujua kwetu kutulagayi!! Wiongozi wao ni matajiri wana mipesa huko mabenki lakini watoto wetu ni wakudeki Barbara wakubwa hao wanapopita!!! Wamejenga mihoteli lakini watoto wa maskini wanawalagayi kwa kuwapa tupesa ili wanywe viroba na sikuwasaidia waende shule au kujiendeleza kielimu au kimaisha!! Vijana wetu walipewa vi bodaboda na ndiyo hizo zimemaliza wanaume ambao ndiyo taifa LA kesho!!vijana wa kike kuna hatari kutokuolewa maana vijana wameharibiwa na viroba na wengine kufa kwa kuendesha bodahoda za zawadi huku wakiwa wamevuta bangi na kunywa viroba!!


Amka mtanzania!! Tanzania kwanza vyama baadae

Ukianza kuwaweka MAFISADI na wapiga deal haya yeye hatatoka kwenye hizo tittle so jiangalie kwenye kuvunja KATIBA hakumpi kiki ati sababu amaefungu train ya mwendokasi,for your information ni mradi alioleta JK,wa kwake waliouformulate uko wapi??

Angeshughulikia kweli wezi na wala RUSHWA tungewaona akina Lugumi,Simon Kisena wa UDA wakiwa gerezani lakini wapo URAIANI na wengine wamepewa na UDA kabisa,huyo Bashite ndiyo FISADI na mnyang'anyi wa mali za wafanyabiashara wakubwa.Hivyo Anpovunja katiba tutasema tu
 
Back
Top Bottom