Parabolic
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 2,743
- 2,601
Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA, Dk Rugelemeza Nshala amefafanua hoja nne walizowasilisha katika Mahakama ya Rufani katika marejeo ya kesi ya mgawanyo wa mali za chama hicho, leo Machi 24, 2026.
Hoja hizo ni pamoja na ukomo wa muda wa mgogoro unaobishaniwa, thamani ya mali zinazotakiwa kugawanywa, haki za kikatiba zinazokosekana wakati wa mgogoro na waliokuwa wajumbe wa Bodi ya Wadhamini kuishitaki bodi hiyo.
Akizungumzia mipaka ya zuio lililowekwa na Mahakama kuu, Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika ameeleza...
Hoja hizo ni pamoja na ukomo wa muda wa mgogoro unaobishaniwa, thamani ya mali zinazotakiwa kugawanywa, haki za kikatiba zinazokosekana wakati wa mgogoro na waliokuwa wajumbe wa Bodi ya Wadhamini kuishitaki bodi hiyo.
Akizungumzia mipaka ya zuio lililowekwa na Mahakama kuu, Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika ameeleza...