Hoja; Kigamboni Vs Bagamoyo, Bush Vs Xi Jinping

Hoja; Kigamboni Vs Bagamoyo, Bush Vs Xi Jinping

Gefu

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2010
Posts
6,929
Reaction score
2,567
..Kwa ninavyoona huu ni mpambano wa kidiplomasia ingawa kwa mtazamo wa kawaida unaweza usiuone. mmarekani kaamua kufanya investment kubwa sana kigamboni, uwekezaji wenye thamani kubwa sana.

..mchina nae kaamua kuja na kubwa kuliko,fedha alizotoa kwa tanzania bila masharti zana thamani ya nusu ya misaada yoote aliyo toa kwa bara la Africa ! thamani yake ni trilioni tatu Tzs.

Hoja: je huu ni urafiki wa mataifa makubwa kwa Tanzania au kuna kitu chini ya kapeti ? Ni ngumu kuamini mabilioni yooote haya yanatolew bure kwetu hata kama kauli za wanasiasa zinasema hivyo. Ninaamini kataka falsafa ya mkono mtupu haulambwi, hii ni dhahiri hata kwa ndugu wa familia moja,kama huna hela hunanafasi..
 
Fuatilia vizuri kwa wadau. Hii di danganya toto tu. watakachopata wao ni mara mia zaidi.

Mungu atuepushie mbali.
 
Unganisha na habari ya ile gesi ya Mtwara kuletwa Dar na wachina
 
Huu urafiki ni mzuri.

Ningependa mwekezaji mwengine mkubwa awekeze pale Kigoma na mwengine Mbeya ili speed ya maendeleo iongezeke kote kote.
 
Huu urafiki ni mzuri.

Ningependa mwekezaji mwengine mkubwa awekeze pale Kigoma na mwengine Mbeya ili speed ya maendeleo iongezeke kote kote.
.. kwa harakaharaka ni mzuri, ila ukitaja neno "uwekezaji" napata mashaka na kesho yetu katika hili has mikataba yoote inapokuwa siri ya watawala....
 
Nyie chekeni tu, mtakuwa nyasi sasa hivi.
.. hata mimi nina wasiwasi, nahisi itakuja kuwa kama mjerumani na mwingereza mpaka leo hatuelewani na malawi,sasa hii tutachapana wenyewe kwa wenyewe..
 
Tumwombe Mungu tuu hii ni hatari kubwa sana zaidi ya tunavyofikiri
 
Miradi kama hii ingekuwa inapelekwa Lindi, Swanga, kigma nchi ingepiga hatua.
 
ujamsikia mkuu wetu kuwa ukitaka kula nawe ni lazima uliwe. Alafu akasema sina maana hilo!!!
 
Back
Top Bottom