Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
Mkuu hapo hakuna ubishi huyu Dr willbroad Peter Slaa anastahili sana tu hata pale mlimani walitakiwa wamuite wampe Degree nyingi tu za heshima namchango wake kwa Taifa hili kwani kama sio yeye Richmond,Kagoda,Meremeta na mengineyo tusingefahamu na bado ndio kawaamsha Watanzania wengi ambao walikuwa washachoka na maisha and now we know na hatudanganyiki tena.Dr Willbroad Slaa ipo siku mtasikia kaitwa Norway kupokea Alfred( Nobel Price)
Uongozi wa UDSM hawajaliona hilo bali wamemwona jk wanamwongeza maphd ya bure cjajua kama walikuwa na nia ya dhati au wanampaka mafuta kwa mgongo wa chupa