Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,104
- 5,665
Wana JF
Natambua kwamba watanzania tunamtambua Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
kama baba wa Taifa letu kutoka na key role aliyoiplay katika harakati na hatimaye
watanzania kupata uhuru kutoka kwa wakoloni weupe.
Ninapendekeza kwamba, kutokana na mchango ambao DR ameishautoa kwa
Taifa letu katika harakati za kujikwamua kutoka katika utawala fisadi, dhalimu,
kandamizi, goigoi, hovyo, jinga, zembe, shenzi, chafu, mbaya, mbovu n.k
wa Chama cha Mapinduzi
hasa kutokana na ujasiri alioanza kuonyesha toka Bungeni wa kuwalazimisha
watawala wetu kuchukua hatua stahiki za kupambana na ufisadi na zaidi mchango
wake katika kutufumbua watanzania "toka enzi za operation sangara" macho
kiasi cha kwamba wooooote sasa tunatambua kwamba kiini cha Matatizo yetu
ni kuwa chini ya utawala wa Chama cha Mapinduzi.
Huku tukikumbuka kwamba ukombozi tunaoupigania sasa ni bora kuliko ule
wa kwanza.
Napendekeza huyu mzee awe Baba Mdogo wa Taifa Letu.
Natambua kwamba watanzania tunamtambua Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
kama baba wa Taifa letu kutoka na key role aliyoiplay katika harakati na hatimaye
watanzania kupata uhuru kutoka kwa wakoloni weupe.
Ninapendekeza kwamba, kutokana na mchango ambao DR ameishautoa kwa
Taifa letu katika harakati za kujikwamua kutoka katika utawala fisadi, dhalimu,
kandamizi, goigoi, hovyo, jinga, zembe, shenzi, chafu, mbaya, mbovu n.k
wa Chama cha Mapinduzi
hasa kutokana na ujasiri alioanza kuonyesha toka Bungeni wa kuwalazimisha
watawala wetu kuchukua hatua stahiki za kupambana na ufisadi na zaidi mchango
wake katika kutufumbua watanzania "toka enzi za operation sangara" macho
kiasi cha kwamba wooooote sasa tunatambua kwamba kiini cha Matatizo yetu
ni kuwa chini ya utawala wa Chama cha Mapinduzi.
Huku tukikumbuka kwamba ukombozi tunaoupigania sasa ni bora kuliko ule
wa kwanza.
Napendekeza huyu mzee awe Baba Mdogo wa Taifa Letu.