Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Tangu tumeingia katika mfumo wa vyama vingi tangu 1995 hadi leo hii sijaona umuhimu wa vyama vingi kwa watanzania ni bora tubakie katika chama kimoja kuliko kuwa na vyama vingi.
Tangu tuingie katika huu mfumo wa vyama Vingi hadi Leo huu mfumo umekuwa mchungu sana kwa watu ambao wanaonekana kuunga mkono upinzani na hata wafuasi wa upinzani wamekuwa wakipitia katika hali ngumu na mapito magumu ambayo huwezi kueleza
Hivyo katika bunge lijalo ninamuomba spika ndugai na tulia ackson naibu spika pamoja na mwanasheria Mkuu wa Serikali pamoja wingi wa wabunge wa ccm mfute sheria ya uwepo wa vyama vingi na mvifutee kabisa vyama vingi ibakie CCM peke yake na tuwe na bunge la CCM.
Sisi wafuasi wa upinzani tumeshakubali kushidwa mambo ya uchaguzi sijui mbunge, sujui diwani sijui Rais mchaguane wenyewe kwa wenyewe hamna shida na hizo pesa za kuendesha chaguzi ziende katika maendeleo .
Inatosha sasa hapa tulipofikia inatoshaaa tuliyoyaona katika mfumo wa vyama vingi inatosha sasa enough its enough madhara tuliyoyaona inatosha sasa tunataka tuishi kwa amani na furaha.
Tangu tuingie katika huu mfumo wa vyama Vingi hadi Leo huu mfumo umekuwa mchungu sana kwa watu ambao wanaonekana kuunga mkono upinzani na hata wafuasi wa upinzani wamekuwa wakipitia katika hali ngumu na mapito magumu ambayo huwezi kueleza
Hivyo katika bunge lijalo ninamuomba spika ndugai na tulia ackson naibu spika pamoja na mwanasheria Mkuu wa Serikali pamoja wingi wa wabunge wa ccm mfute sheria ya uwepo wa vyama vingi na mvifutee kabisa vyama vingi ibakie CCM peke yake na tuwe na bunge la CCM.
Sisi wafuasi wa upinzani tumeshakubali kushidwa mambo ya uchaguzi sijui mbunge, sujui diwani sijui Rais mchaguane wenyewe kwa wenyewe hamna shida na hizo pesa za kuendesha chaguzi ziende katika maendeleo .
Inatosha sasa hapa tulipofikia inatoshaaa tuliyoyaona katika mfumo wa vyama vingi inatosha sasa enough its enough madhara tuliyoyaona inatosha sasa tunataka tuishi kwa amani na furaha.