makoye2009
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,638
- 1,218
Kufuatia tangazo la EWURA la kupandisha bei ya mafuta kwa aina zote yaani Petroli,Dizeli na Mafuta ya taa kuanzia leo naomba Mbunge yeyote makini kutoka upinzani hasa CDM apeleke HOJAS BINAFSI YA KUPINGA ONGEZEKO LA BEI YA MAFUTA kuanzia leo kama ilivyotangazwa na EWURA jana. EWURA hawahawa walituambia kuna stock ya mafuta ya kutosha siku 60(2 months),iweje mara tu baada ya kutangaza bei jana usiku tayari bei zimepanda ASUBUHI? Ni mfanya biashara gani amesha enda jana usiku kununua mafuta kwa bei iliyotangazwa jana usiku????
HUU NI WIZI WA MCHANA KWEUPE! Wauza mafuta wanatuchezea. Tusikubali.
Inasikitisha na inashangaza kuona kwamba baada ya mgomo wa Wafanyibiashara ya mafuta kufuatia bei elekezi ya PUNGUZO kutoka EWURA ndani ya wiki mbili bei imepanda tena na kuzidi hata ile bei iliyokuwepo kabla ya mgomo wa Wafanyi biashara wa mafuta.
Kwanza kabla ya hapo EWURA walitutangazia kuwa SERIKALI IMEPUNGUZA KODI ZA UNUNUAJI MAFUTA KWA MAKAMPUNI YANAYOAGIZA MAFUTA kutoka nje kwa almost 40%.Hili ni punguzo kubwa sana kibiashara. Hata kama Shilingi ya Tanzania inaporomoka kila wiki na bei ya soko la Mafuta duniani inaongezeka kila wiki bado BEI INGELIKUWA inakuwa contained kwenye ile 40%.
Haiwezekani bei ya mafuta ibadilike kila siku kwa visingizio cha KUPOROMOKA KWA TZ SHILINGI na KUPANDA KWA BEI YA MAFUTA KWENYE SOKO LA DUNIA!!Je,hii bei ya mafuta soko la dunia inaihusu Tanzania peke yake? Mbona hatusikiii kwa majirani zetu kama Kenya,Uganda,Rwanda,Burundi n.k kuwa Bei zao zinapanda kila kukicha?Tunajua hata wao majirani zetu pesa zao haziko stable sana dhidi ya Dollar ya Marekani. Tuchukue mfano wa Uganda ambao thamani yao ya Shilingi iko chini ukilinganisha na Shilingi ya Tanzania. Mbona hatusikii na wao kila siku wakiteremsha na kupandisha bei za mafuta kwa visingizio vya thamani ya shilingi na bei ya soko la dunia?
Bado EWURA imetaka kuwadanganya Wadanganyika kuwa gharama na punguzo zilizofanywa na Serikali zitabebwa na Serikali! Ukweli wa jambo hili uko wapi???Kwanini EWURA na Serikali ya CCM wanawabebesha Watanzania mizigo wasiyo weza kuibeba???Serikali inashindwa nini kubeba gharama hizo na badala yake wanatupa mzigo huo kwa walalahoi???
Nahitimisha kwa kusema kuwa kwa hili la KUONGEZA BEI YA MAFUTA kama serikali haichukui hatua za makusudi za KUPUNGUZA BEI HIYO kwa kuondoa KODI ZISIZO ZA LAZIMA kwa wafanyi biashara basi SASA IWE NI ZAMU YA WATANZANIA KUANDAMANA KUPINGA ONGEZEKO LA BEI YA MAFUTA.
Watanzania tusipende kutawaliwa kama makondoo. Ni wakati wa Watanzania kuonyesha mshikamano sasa kwa kuingia mitaani kwa maandamano na kugoma kununua mafuta kutoka vituo vya wauza mafuta halafu tuone nini kitatokea. Inawezekanaje bei ya mafuta soko la dunia ipande jana na leo tayari muuza mafuta auze kwa bei ya soko la dunia???Ni saa ngapi huyu muuza mafuta ameingiza mafuta mapya yenye bei ya soko la dunia???
MASEBU NA EWURA YAKO ONDOKENI HATUWATAKIIIIII !!!!!!!!!!!!!
HUU NI WIZI WA MCHANA KWEUPE! Wauza mafuta wanatuchezea. Tusikubali.
Inasikitisha na inashangaza kuona kwamba baada ya mgomo wa Wafanyibiashara ya mafuta kufuatia bei elekezi ya PUNGUZO kutoka EWURA ndani ya wiki mbili bei imepanda tena na kuzidi hata ile bei iliyokuwepo kabla ya mgomo wa Wafanyi biashara wa mafuta.
Kwanza kabla ya hapo EWURA walitutangazia kuwa SERIKALI IMEPUNGUZA KODI ZA UNUNUAJI MAFUTA KWA MAKAMPUNI YANAYOAGIZA MAFUTA kutoka nje kwa almost 40%.Hili ni punguzo kubwa sana kibiashara. Hata kama Shilingi ya Tanzania inaporomoka kila wiki na bei ya soko la Mafuta duniani inaongezeka kila wiki bado BEI INGELIKUWA inakuwa contained kwenye ile 40%.
Haiwezekani bei ya mafuta ibadilike kila siku kwa visingizio cha KUPOROMOKA KWA TZ SHILINGI na KUPANDA KWA BEI YA MAFUTA KWENYE SOKO LA DUNIA!!Je,hii bei ya mafuta soko la dunia inaihusu Tanzania peke yake? Mbona hatusikiii kwa majirani zetu kama Kenya,Uganda,Rwanda,Burundi n.k kuwa Bei zao zinapanda kila kukicha?Tunajua hata wao majirani zetu pesa zao haziko stable sana dhidi ya Dollar ya Marekani. Tuchukue mfano wa Uganda ambao thamani yao ya Shilingi iko chini ukilinganisha na Shilingi ya Tanzania. Mbona hatusikii na wao kila siku wakiteremsha na kupandisha bei za mafuta kwa visingizio vya thamani ya shilingi na bei ya soko la dunia?
Bado EWURA imetaka kuwadanganya Wadanganyika kuwa gharama na punguzo zilizofanywa na Serikali zitabebwa na Serikali! Ukweli wa jambo hili uko wapi???Kwanini EWURA na Serikali ya CCM wanawabebesha Watanzania mizigo wasiyo weza kuibeba???Serikali inashindwa nini kubeba gharama hizo na badala yake wanatupa mzigo huo kwa walalahoi???
Nahitimisha kwa kusema kuwa kwa hili la KUONGEZA BEI YA MAFUTA kama serikali haichukui hatua za makusudi za KUPUNGUZA BEI HIYO kwa kuondoa KODI ZISIZO ZA LAZIMA kwa wafanyi biashara basi SASA IWE NI ZAMU YA WATANZANIA KUANDAMANA KUPINGA ONGEZEKO LA BEI YA MAFUTA.
Watanzania tusipende kutawaliwa kama makondoo. Ni wakati wa Watanzania kuonyesha mshikamano sasa kwa kuingia mitaani kwa maandamano na kugoma kununua mafuta kutoka vituo vya wauza mafuta halafu tuone nini kitatokea. Inawezekanaje bei ya mafuta soko la dunia ipande jana na leo tayari muuza mafuta auze kwa bei ya soko la dunia???Ni saa ngapi huyu muuza mafuta ameingiza mafuta mapya yenye bei ya soko la dunia???
MASEBU NA EWURA YAKO ONDOKENI HATUWATAKIIIIII !!!!!!!!!!!!!