Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,840
1. Lift/ elevator:
majengio yetu mengi lift zake zinagoma goma, pia umeme ukikatika ni nooooma ile mbaya.
2. Ngazi za dharura
majengo mengi hayanga ngazi za dharura, likitokea janga lolote patachimbika.
3.makandarasi wetu
ndio hawahawa wanaotucherea michoro ya majengo ya kariakoo yasio salama wala. Majengo yanayoporomoka tumeyaona kariakoo, chang'ombe na kisutu.
Tusubiri mengi zaidi yatafuata.
majengio yetu mengi lift zake zinagoma goma, pia umeme ukikatika ni nooooma ile mbaya.
2. Ngazi za dharura
majengo mengi hayanga ngazi za dharura, likitokea janga lolote patachimbika.
3.makandarasi wetu
ndio hawahawa wanaotucherea michoro ya majengo ya kariakoo yasio salama wala. Majengo yanayoporomoka tumeyaona kariakoo, chang'ombe na kisutu.
Tusubiri mengi zaidi yatafuata.