Hofu ya sumu yatanda, Kikao cha halmashauri ya Jiji la Mwanza,chavunjika

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,890
Kikao cha halmashauri ya Jiji la Mwanza,kimevunjika baada ya Meya Bw.James Bwire kulalamikia harufu kali, inayohisiwa kuwa ni sumu. Harufu hiyo iliyokuwa ikitoka kwenye kiyoyozi ndani ya ofisi yake, huku watumishi 2 wa jiji wakishikiliwa na Polisi kwa mahojiano.

Meya James Bwire, mwezi wa 4 mwaka huu alilazwa nchini Kenya, baada ya kudaiwa kuanguka ofisini kwake.


Chanzo: ITV
 
Huyo meya atakuwa ana matatizo ya mapua...

MaCCM kwa MaCCM hayawezi kufanyiana unyama kama huo!
 
Ccm wameanza kumalizana wenyewe kwa wenyewe.....



Bw. Bwire


uploadfromtaptalk1465835232425.jpg
 
Kikao kinairishwa kwa sababu kuna harufu kali inaodhaniwa kuwa ni Sumu?

Hizo garama za kikao nani atalipa?

Kwa hiyo mtu afe kwa kuogopa gharama?Wangeweza kufanya jambo moja tu kuhamishia mkutano kwenye ukumbi wa ccm mkoani maana hotelini.wangetumbuliwa kwa hizo gharama.
 
Back
Top Bottom